Sometimes we build a future on the past!!!!!!!!!!!!!!!
Hebu imagine this............Hivi baby ulivyo mtamu hivi kweli ex wako hakutafuti....jibu liwe; watanifutaje wakati wote wameshafariki.........!!!!!????
Tusaidie mkuu namna ya kumchunguza kama alikua akitoa 0712 au alikua mtu wa viwanja elimu tafadhali.
sometimes we use our past to determine our future.
Mimi nilikuwa nauliza swali moja tu baada ya kuulizwa my past!!!!!??????
Unataka jibu la kweli au la kukuridhisha!!!!!????
Sometimes we build a future on the past!!!!!!!!!!!!!!!
Hebu imagine this............Hivi baby ulivyo mtamu hivi kweli ex wako hakutafuti....jibu liwe; watanifutaje wakati wote wameshafariki.........!!!!!????
Mambo ya kuanza kuulizana past bana yanaingua, cha msingi ni jinsi gani mtu amejipanga kusahau the so called "X" na kuanza mahusiano mapya.
Sent from my iPhone using JamiiForums app
Na akikwambia kuwa hawaishi kumtafuta. Tena Frank yule mwenye dushe kubwa ndio ananisumbua sana, lkn John yule handsome anayejua kunispoil ameniambia atanifuata nikienda kufunga mzigo Bangkok. Halafu wewe ni kibamia tena mhudumu kwenye zahanati ya gerezani.
Sometimes we build a future on the past!!!!!!!!!!!!!!!
Hebu imagine this............Hivi baby ulivyo mtamu hivi kweli ex wako hakutafuti....jibu liwe; watanifutaje wakati wote wameshafariki.........!!!!!????