Kwako Tundu Lissu kuhusu suala la Lugha

Newbies

JF-Expert Member
Jul 13, 2018
1,477
2,148
Mhe. Tundu Lissu nakusalimu.

Wewe ni miongoni wa watanzania wanaotetea sana lugha ya Kingereza pengine pasipo kujua kuwa lugha ni uchumi na inafungamana na mielekeo, tamaduni na falsafa za watumiaji wa lugha hiyo (Prof Clara Momanyi Kenyatta University)
Hivyo unapoendeleza lugha ya kigeni (Kingereza ) maana yake unakuwa unawanufaisha wale wenye lugha hiyo.

Ndio maana wao wana mashirika yenye nguvu na hufanya uwekezaji mkubwa kwaajili ya kuendeleza lugha yao wakilenga kujinufaisha kiuchumi.

- Tunapaswa kuelewa kwamba hakuna nchi yeyote yenye maendeleo ya kweli inayotumia lugha ya watu wengine (Prof Aldin Mutembei Udsm)

Unayajua Haya ?
- Sera ya lugha inasemaje? (Tz)
Mwaka 2014 Sera ilipitishwa kuwa kiswahili pamoja na Kingereza zitakuwa lugha za kufundishia kutoka shule za awali mpaka chuo kikuu. (Haijatekelezwa)

- Tafiti zinasemaje?

Tafiti zote zilizofanywa zinaeleza kuwa lugha inayoweza kuwapa watanzania maarifa na wao wakawa wavumbuzi ni lugha ya kiswahili. (Rejea utafiti wa Mzee Makweta (1991)

- Kiswahili kinaweza kutumika kufundishia katika miktadha yote ya Academia?

Jibu ni Ndio kutokana na tafiti zilizofanywa! Utasema hakuna vitabu au publication na makorokocho mengine yameandikwa kwa Kingereza lakini hapa tafsiri inaweza kutumika na nimiongoni mwa Kazi za BAKITA &TATAKI kama vilivyotafsiriwa vitabu ya sayansi vya Hubort na Lambert mwaka 1972 ) na kama walivyotafsiri mataifa mengine kama ujerumani uingereza maarifa kutoka katika lugha ya kiyunani na kiarabu.

NB natambua umuhimu wa kingereza lakini ushauri wangu kwako, asaa sudi utakuwa Rais , lugha hii inaweza kufundishwa shuleni katika ngazi zote kama kozi na sio kama somo kama inavyofanyika sasa na ikiwezekana watafutwe waalimu wazawa wa lugha hiyo. Huku kiswahili kikitumika kufundishia masomo mengine. Watanzania wote hakuna anayejua kingereza hata hao wanaojinasibu kukijua wanakijua kwa uchache sana pengine katika kiwango cha 3.0 ,( Lugha sio msamiati pekee )

Kukicha nitaendea
#mawazohuru
 
Ni muhimu watu wakajua lugha ya kiingereza inatuwezesha kujifunza na kuwasiliana na mataifa mengine.
Pointless..
Mbona hao Mabeberu waliweza kuja kuitawala Afrika na kuendesha biashara zao ndani ya Afrika angali hawajui lugha za kiafrika Wala waafrika kujua lugha zao?

Utumwa wa fikra bado ni Tatizo wa kwa Afrika wengi Sana wakiwemo kina tundu lissu na nyie.
 
Na ninyi mnaondelea sana kuona watanzania wakiwa maskini bora yupi
IMG_20200911_080452.jpeg
 
Namnukuu akisema tunahitaji mjadala wa kitaifa "Ukiniuliza mimi, honest opinion Nchi yetu haiwezi kuzungumza Kiingereza, hivyo tunahitaji kuwa na mjadala juu ya sera ya lugha, tusipokuwa na mjadala huu, hatufiki popote kwani language of instruction is everything.


Tangu tumepata Uhuru tumekua na ndimi mbili kuhusiana na lugha na ndimi mbili ni hatari, ulimi mmoja tumesema Kiswahili ni lugha ya Taifa na tumeiendeleza kwelikweli.
TUNDU LISSU.

USIPOTOSHE.
 
Pointless..
Mbona hao Mabeberu waliweza kuja kuitawala Afrika na kuendesha biashara zao ndani ya Afrika angali hawajui lugha za kiafrika Wala waafrika kujua lugha zao?

Utumwa wa fikra bado ni Tatizo wa kwa Afrika wengi Sana wakiwemo kina tundu lissu na nyie.
Wewe unaamini wakoloni walikuwa wanajadiliana na waafrika au walikuwa wanafanya yao tu bila kuzungumza na wenyeji kama ufanyavyo na kuku wako?
 
Wakija Tz wanajifunza Kiswahili wakienda Uingereza wanajifunza kiingereza, nk
Sio wote wanakuja.Mfano china ni Wauzaji wakubwa wa bidhaa nje ya nchi ikiwemo Tanzania na hawajawahi toka nje ya China na hawajui kiingereza
 
Tundu Lisu hajatetea lugha ya Kiingereza popote ila alichosema ni kwamba watanzania wengi hatujui kiingereza na pia hatujui kiswahili. Kwahiyo hakuna lugha tunayoijua kwa ufasaha. Alitoa mfano wa majaji kukazia hoja.
Mwisho alisema lazima uwepo mjadala wa Sera ya Lugha.
 
Mh . Tundu lissu nakusalimu.

Wewe ni miongoni wa watanzania wanaotetea sana lugha ya Kingereza pengine pasipo kujua kuwa lugha ni uchumi na inafungamana na mielekeo, tamaduni na falsafa za watumiaji wa lugha hiyo (Prof Clara Momanyi Kenyatta University)
Hivyo unapoendeleza lugha ya kigeni (Kingereza ) maana yake unakuwa unawanufaisha wale wenye lugha hiyo.

Ndio maana wao wana mashirika yenye nguvu na hufanya uwekezaji mkubwa kwaajili ya kuendeleza lugha yao wakilenga kujinufaisha kiuchumi.

-Tunapaswa kuelewa kwamba hakuna nchi yeyote yenye maendeleo ya kweli inayotumia lugha ya watu wengine (Prof Aldin Mutembei Udsm)

Unayajua Haya ?
- Sera ya lugha inasemaje? (Tz)
Mwaka 2014 Sera ilipitishwa kuwa kiswahili pamoja na Kingereza zitakuwa lugha za kufundishia kutoka shule za awali mpaka chuo kikuu. (Haijatekelezwa)

- Tafiti zinasemaje?

Tafiti zote zilizofanywa zinaeleza kuwa lugha inayoweza kuwapa watanzania maarifa na wao wakawa wavumbuzi ni lugha ya kiswahili. (Rejea utafiti wa Mzee Makweta (1991)

- Kiswahili kinaweza kutumika kufundishia katika miktadha yote ya Academia?

Jibu ni Ndio kutokana na tafiti zilizofanywa! Utasema hakuna vitabu au publication na makorokocho mengine yameandikwa kwa Kingereza lakini hapa tafsiri inaweza kutumika na nimiongoni mwa Kazi za BAKITA &TATAKI kama vilivyotafsiriwa vitabu ya sayansi vya Hubort na Lambert mwaka 1972 ) na kama walivyotafsiri mataifa mengine kama ujerumani uingereza maarifa kutoka katika lugha ya kiyunani na kiarabu.

NB natambua umuhimu wa kingereza lakini ushauri wangu kwako, asaa sudi utakuwa Rais , lugha hii inaweza kufundishwa shuleni katika ngazi zote kama kozi na sio kama somo kama inavyofanyika sasa na ikiwezekana watafutwe waalimu wazawa wa lugha hiyo. Huku kiswahili kikitumika kufundishia masomo mengine. Watanzania wote hakuna anayejua kingereza hata hao wanaojinasibu kukijua wanakijua kwa uchache sana pengine katika kiwango cha 3.0 ,( Lugha sio msamiati pekee )

Kukicha nitaendea
#mawazohuru
Kama lugha ndiyo elimu au utamaduni kwanini mnataka kulazimisha watu wengine wasio waswahili waseme kiswahili? Mnataka wawe watumwa wenu?

Mzaramo akiongea kihaya anakuwa mhaya? Au mtumwa wa wahaya?
Au kujua kichina ndiyo umekuwa mtumwa au kibaraka wa wachina?

Hao eti "watafiti" sijui "wataalamu" wenu wanawapotosha. Dunia ya sasa kama unanyanyapaa au hujui lugha ya kimataifa utaliwa tu.

Acheni kujisifia eti kiswahili mali yenu au kiingereza lugha ya mabeberu! Ni ubwege kudhani mnaweza kuendelea kwa kuogopa lugha za kigeni.

Ukitaka kumshinda adui yako njia mojawapo ni kujua lugha yake. Ili ujue mipango na mbinu anazotumia kupambana sio na wewe tu bali na adui zake wengine.
 
Mhe. Tundu Lissu nakusalimu.

Wewe ni miongoni wa watanzania wanaotetea sana lugha ya Kingereza pengine pasipo kujua kuwa lugha ni uchumi na inafungamana na mielekeo, tamaduni na falsafa za watumiaji wa lugha hiyo (Prof Clara Momanyi Kenyatta University)
Hivyo unapoendeleza lugha ya kigeni (Kingereza ) maana yake unakuwa unawanufaisha wale wenye lugha hiyo.

Ndio maana wao wana mashirika yenye nguvu na hufanya uwekezaji mkubwa kwaajili ya kuendeleza lugha yao wakilenga kujinufaisha kiuchumi.

- Tunapaswa kuelewa kwamba hakuna nchi yeyote yenye maendeleo ya kweli inayotumia lugha ya watu wengine (Prof Aldin Mutembei Udsm)

Unayajua Haya ?
- Sera ya lugha inasemaje? (Tz)
Mwaka 2014 Sera ilipitishwa kuwa kiswahili pamoja na Kingereza zitakuwa lugha za kufundishia kutoka shule za awali mpaka chuo kikuu. (Haijatekelezwa)

- Tafiti zinasemaje?

Tafiti zote zilizofanywa zinaeleza kuwa lugha inayoweza kuwapa watanzania maarifa na wao wakawa wavumbuzi ni lugha ya kiswahili. (Rejea utafiti wa Mzee Makweta (1991)

- Kiswahili kinaweza kutumika kufundishia katika miktadha yote ya Academia?

Jibu ni Ndio kutokana na tafiti zilizofanywa! Utasema hakuna vitabu au publication na makorokocho mengine yameandikwa kwa Kingereza lakini hapa tafsiri inaweza kutumika na nimiongoni mwa Kazi za BAKITA &TATAKI kama vilivyotafsiriwa vitabu ya sayansi vya Hubort na Lambert mwaka 1972 ) na kama walivyotafsiri mataifa mengine kama ujerumani uingereza maarifa kutoka katika lugha ya kiyunani na kiarabu.

NB natambua umuhimu wa kingereza lakini ushauri wangu kwako, asaa sudi utakuwa Rais , lugha hii inaweza kufundishwa shuleni katika ngazi zote kama kozi na sio kama somo kama inavyofanyika sasa na ikiwezekana watafutwe waalimu wazawa wa lugha hiyo. Huku kiswahili kikitumika kufundishia masomo mengine. Watanzania wote hakuna anayejua kingereza hata hao wanaojinasibu kukijua wanakijua kwa uchache sana pengine katika kiwango cha 3.0 ,( Lugha sio msamiati pekee )

Kukicha nitaendea
#mawazohuru
Huyu tundu antipas lissu mwenyewe kingereza hakijui. Ukimwangalia alivyokua anahojiwa ugenini utaona anavyojibaraguza na kuviringisha mdomo na mishavu eti aonekana anajua kingereza wakati lugha yake asili ni kinyaturu na nchini kwake saa zote lugha yake ni kiswahili.😂😂
 
Namnukuu akisema tunahitaji mjadala wa kitaifa "Ukiniuliza mimi, honest opinion Nchi yetu haiwezi kuzungumza Kiingereza, hivyo tunahitaji kuwa na mjadala juu ya sera ya lugha, tusipokuwa na mjadala huu, hatufiki popote kwani language of instruction is everything.


Tangu tumepata Uhuru tumekua na ndimi mbili kuhusiana na lugha na ndimi mbili ni hatari, ulimi mmoja tumesema Kiswahili ni lugha ya Taifa na tumeiendeleza kwelikweli.
TUNDU LISSU.

USIPOTOSHE.
Jamaa alisikiliza juu juu tu
 
Mhe. Tundu Lissu nakusalimu.

Wewe ni miongoni wa watanzania wanaotetea sana lugha ya Kingereza pengine pasipo kujua kuwa lugha ni uchumi na inafungamana na mielekeo, tamaduni na falsafa za watumiaji wa lugha hiyo (Prof Clara Momanyi Kenyatta University)
Hivyo unapoendeleza lugha ya kigeni (Kingereza ) maana yake unakuwa unawanufaisha wale wenye lugha hiyo.

Ndio maana wao wana mashirika yenye nguvu na hufanya uwekezaji mkubwa kwaajili ya kuendeleza lugha yao wakilenga kujinufaisha kiuchumi.

- Tunapaswa kuelewa kwamba hakuna nchi yeyote yenye maendeleo ya kweli inayotumia lugha ya watu wengine (Prof Aldin Mutembei Udsm)

Unayajua Haya ?
- Sera ya lugha inasemaje? (Tz)
Mwaka 2014 Sera ilipitishwa kuwa kiswahili pamoja na Kingereza zitakuwa lugha za kufundishia kutoka shule za awali mpaka chuo kikuu. (Haijatekelezwa)

- Tafiti zinasemaje?

Tafiti zote zilizofanywa zinaeleza kuwa lugha inayoweza kuwapa watanzania maarifa na wao wakawa wavumbuzi ni lugha ya kiswahili. (Rejea utafiti wa Mzee Makweta (1991)

- Kiswahili kinaweza kutumika kufundishia katika miktadha yote ya Academia?

Jibu ni Ndio kutokana na tafiti zilizofanywa! Utasema hakuna vitabu au publication na makorokocho mengine yameandikwa kwa Kingereza lakini hapa tafsiri inaweza kutumika na nimiongoni mwa Kazi za BAKITA &TATAKI kama vilivyotafsiriwa vitabu ya sayansi vya Hubort na Lambert mwaka 1972 ) na kama walivyotafsiri mataifa mengine kama ujerumani uingereza maarifa kutoka katika lugha ya kiyunani na kiarabu.

NB natambua umuhimu wa kingereza lakini ushauri wangu kwako, asaa sudi utakuwa Rais , lugha hii inaweza kufundishwa shuleni katika ngazi zote kama kozi na sio kama somo kama inavyofanyika sasa na ikiwezekana watafutwe waalimu wazawa wa lugha hiyo. Huku kiswahili kikitumika kufundishia masomo mengine. Watanzania wote hakuna anayejua kingereza hata hao wanaojinasibu kukijua wanakijua kwa uchache sana pengine katika kiwango cha 3.0 ,( Lugha sio msamiati pekee )

Kukicha nitaendea
#mawazohuru
Tatizo Kuna wanajiita Wazalendo' watetea Kiswahili ,na bado hawafanyi lolote kuendeleza Kiswahili.
Mbona Kenya wametupita katika kukiendeleza Kiswahili!
Lissu alisema Kuna tatizo ktk Kingereza na Ni kweli!
Sasa hivi watoto wanaongea Kiswahili Kama lugha mama wanapata Shida kwenye kuelewa Masomo kwenye English Medium School
Hebu fikria mtoto wa miaka 10 Drs la Sita anafundishwa,Good Gorvanance,Research,sijui methodology , Environmental Conservation ....Ni shida!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom