Kwako Rais wangu Samia

Kwako Rais wangu Samia

Dalali wa Mjini

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2024
Posts
1,074
Reaction score
1,564
Katika wale watanzania ambao watapiga Kura kukuchagua wewe basi na Mimi ni mmoja wapo kukuchagua wewe Rais wangu Mama yetu mlezi Samia Suluhu Hassan.

Sio uchawa Ila nimezaliwa ndani ya Chama Cha Mapinduzi.

Ruksa kutoa matusi wale wa upande wa pili mana mnalilia uongozi na hampati huo uongozi.

Blue
Nyeusi
Kijani
Manjano

(TANZANIA)
 
Katika wale watanzania ambao watapiga Kura kukuchagua wewe basi na Mimi ni mmoja wapo kukuchagua wewe Rais wangu Mama yetu mlezi Samia Suluhu Hassan.

Sio uchawa Ila nimezaliwa ndani ya Chama Cha Mapinduzi.

Ruksa kutoa matusi wale wa upande wa pili mana mnalilia uongozi na hampati huo uongozi.

Blue
Nyeusi
Kijani
Manjano

(TANZANIA)
Una uhakika utapiga Kura October?


Kama ndani ya chama Tu mmekwenda Kwa azimio.hiyo October inakuaje?

Hatujafika October tayari hatunae mdude mitaani SASA hiyo October mambo si ndio atakuwa Balaa?
 
Back
Top Bottom