asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
- Thread starter
- #21
Mpenzi wako yupi sasa? Maana unao wengi!
yupo mmoja mkuu ,anajifahamu.....ila pia hii inawahusu wanajamii wenzangu humu jamvini.
heri ya mwaka mpya.
Mpenzi wako yupi sasa? Maana unao wengi!
so far sijapokea hata moja hata ya New Year Wishes...
so far sijapokea hata moja hata ya New Year Wishes...
mtumie picha ya ATM inayowahusu hawa hapendwi mtu ila pochi ,nadhani ndiyo atapandisha mzuka wa maPM
Usimsingizie baby wangu....wengi wapi hao!!!!!
kumbe una wengi humu eeh.
he he he ahsante kwa kunsaidia kusema...ila sitaki picha, kama sio yenyewe je?
yupo mmoja mkuu ,anajifahamu.....ila pia hii inawahusu wanajamii wenzangu humu jamvini.
heri ya mwaka mpya.
Nashukuru, heri na wewe pia!
mie ndio nakueleza mkuu kila mdada anayeniona ananikimbia kwa uso mbuzi nilionao...
wabaya ndo wanajua ku care na kupenda
mie ndio nakueleza mkuu kila mdada anayeniona ananikimbia kwa uso mbuzi nilionao...
Ahhhh,anajua sana sema anazuga.bora umwambie dada yangu ,,,,,nasikia masharo siku hizi hawana soko kabisa?
heri ya mwaka mpya Bi dada
karibu kwenye ulimwengu wa digitali. Ubishi ule ungekufa unangojea kupata mchuchu! Pesa millioni, laki makelele baba!Yaani sioneshi wallet tu bali nawatengenezea na Master Card au VISA card kabisa...kinachobaki ni kuchanja tu.
Heri ya mwaka mpya nawe pia mpendwa...ubarikiwe!
tutake radhi, mwanaume hasifiwi sura, sura mbuzi na vingine je