Swizzy
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 773
- 516
Habari wapenzi wa E-Fm Radio.
Siku zote nilizo kuwa nikiishi huko mikoani nimepata kusikia habari nyingi sana za hii radio station (EFM radio) hasa kwenye ushindani na radio station nyingine tena zenye coverage kubwa hapa Tz.
Sasa saa hizi niko hapa jijini Dar tangu jana nataka niijue vizuri hii radio kwa undani wake.
Hivyo basi kwa yeyote anaye jua code za hii radio hapa jijini Dar anipe hapa na mwenye kujua vipindi kuanzia J3 hadi J2 anipe hapa na watangazaji wake wote ikiwezekana, maana nasikia hata Mpoki yule wa Ze Comedy Show naye ni mtangazaji wa hiyo radio. Kwa jinsi navyompenda Mpoki sipatii picha kwenye hicho kipindi chake huwa kinakuwaje.
Naomba tujuzane ili tuongezeke na sisi wengine wa mikoani kwenye family hii ya EFM radio.
NAWASILISHA
Siku zote nilizo kuwa nikiishi huko mikoani nimepata kusikia habari nyingi sana za hii radio station (EFM radio) hasa kwenye ushindani na radio station nyingine tena zenye coverage kubwa hapa Tz.
Sasa saa hizi niko hapa jijini Dar tangu jana nataka niijue vizuri hii radio kwa undani wake.
Hivyo basi kwa yeyote anaye jua code za hii radio hapa jijini Dar anipe hapa na mwenye kujua vipindi kuanzia J3 hadi J2 anipe hapa na watangazaji wake wote ikiwezekana, maana nasikia hata Mpoki yule wa Ze Comedy Show naye ni mtangazaji wa hiyo radio. Kwa jinsi navyompenda Mpoki sipatii picha kwenye hicho kipindi chake huwa kinakuwaje.
Naomba tujuzane ili tuongezeke na sisi wengine wa mikoani kwenye family hii ya EFM radio.
NAWASILISHA