Chineduchi
Member
- Apr 2, 2021
- 12
- 5
Kwanza naomba nikupongeze kwakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kumteua Waziri mpya TAMISEMI najua uchapaji wake kazi sio wa kitoto.
Naomba mama ikikupendeza tendea haki uhamisho wa watumishi waliokamilisha uhamisho na kusubiri vibali kutoka tamisemi, maana kuna màmbo ambayo sio mazuri yanayo endelea hapo wizarani. Watumishi wanahama kimafungu kwakupitia mlango wa nyuma, sio jambo jema kwaserikali yako.
Naomba haki itendeke kwa wote kulingana na sheria ya utumishi inavyo hitaji.
Kwamama yote mema yanawezeka.
Asante
Naomba mama ikikupendeza tendea haki uhamisho wa watumishi waliokamilisha uhamisho na kusubiri vibali kutoka tamisemi, maana kuna màmbo ambayo sio mazuri yanayo endelea hapo wizarani. Watumishi wanahama kimafungu kwakupitia mlango wa nyuma, sio jambo jema kwaserikali yako.
Naomba haki itendeke kwa wote kulingana na sheria ya utumishi inavyo hitaji.
Kwamama yote mema yanawezeka.
Asante