SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,244
- 4,258
Hamjambo wana mmu wote? Bila shaka wanammu mnazifurahia talkshow za hapa MMU kama mimi. Mnakumbuka jinsi interview ya The Boss iliivyokuwa moto, pia ya prosoner xyz.
LARA1, naomba wiki ijayo tarehe 21.12. Kongosho aingie studio. Maswali yatokane kwenye theme hii: Kwa nini wanajf wamekupachika u-shemale'
Kama kuna mwingine kaandaliwa kwa siku hiyo, basi kongosho asogezwe mpaka tarehe28.12. Nina hamu sana kumsikia Kongosho akitiririka!
LARA1, naomba wiki ijayo tarehe 21.12. Kongosho aingie studio. Maswali yatokane kwenye theme hii: Kwa nini wanajf wamekupachika u-shemale'
Kama kuna mwingine kaandaliwa kwa siku hiyo, basi kongosho asogezwe mpaka tarehe28.12. Nina hamu sana kumsikia Kongosho akitiririka!