Kwako Kaka yangu Jamal Emily Malinzi

Kwako Kaka yangu Jamal Emily Malinzi

Simtetei mgombea yoyote wala sisemi Tenga hana kasoro yoyote au kilichosemwa si sahihi au la.Ila ukweli ni huu;Cheo kinachotafutwa kwa kununua waandishi na media houses zote,kuloby hadi Naibu Waziri,kutetewa na Kaka kwa kisingizio cha Uenyekiti wa BMT,kununua kwa hila viongozi wa Mikoa hakutatuletea RAIS MWADILIFU na ndio anguko letu litapoanza.Angalieni alikotoka huyo mnayemshabikia sana.

ndugu yangu Kiwete hivi unajua exactly nini kimekuwa kikiendelea toka mchakato wa uchaguzi uanze?
 
Last edited by a moderator:
chonde chonde mkuu yaani kama utabahatika kupata urais ukileta mambo ya kisasi soka la bongo litakufa amini hilo..
"vengeance is mine,so says God" sisi ni nani tujipe mamlaka ya kulipa kisasi? Tu waja tu mbele ya Mola.
 
Eddie
Nakuomba uwe na amani.
TFF kupitia kamati ya rufaa ya uchaguzi iliongea tukaisikia.
Serikali kupitia tamko la wizara yenye dhamana ya michezo iliongea tukaisikia.
Jana kupitia ujumbe wa Bw. Tenga FIFA imeongea tumeisikia.
Alhamisi tar 09/05/2013 kamati ya utendaji ya TFF itakaa tutaisikia.
Inshallah tuombeane kheri,bora uzima.

Kila la kheri mkuu.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Eddie
Nakuomba uwe na amani.
TFF kupitia kamati ya rufaa ya uchaguzi iliongea tukaisikia.
Serikali kupitia tamko la wizara yenye dhamana ya michezo iliongea tukaisikia.
Jana kupitia ujumbe wa Bw. Tenga FIFA imeongea tumeisikia.
Alhamisi tar 09/05/2013 kamati ya utendaji ya TFF itakaa tutaisikia.
Inshallah tuombeane kheri,bora uzima.

Kaka nakushukuru kwa majibu yako.

Kupitia vyanzo vyangu vingine nimepata habari uchaguzi utakao fanyika ni wa ngazi ya taifa tu ule wa mikoani na wilayani utabaki vilevile.

Binafsi nina matumaini makubwa juu yako, ni sababu kuu ni historia yako ya kujitolea kwa manufaa ya taifa. Wasio kufahamu hawaujui mchango wako kwa maendeleo ya timu ya taifa kwa hali na mali.

Kama si hii mess up ya Tenga kutupeleka mpera mpera mpaka Oct naamini Tanzania tunge qualify world Cup lakini by the time unaingia ulingoni sadly tutakuwa tushatolewa ( siombi dua baya lakini ndio ukweli) naamini ungesiamamia wewe mechi za Morocco na Ivory Coast tusingekosa walau point 4.

All said and done ombi langu kwako hutajachelewa pengine shirikiana na kamati ya taifa stars tukawafunge Morocco kwao na walau tupate sale ni Ivory Coast nyumbani
 
Kaka nakushukuru kwa majibu yako.

Kupitia vyanzo vyangu vingine nimepata habari uchaguzi utakao fanyika ni wa ngazi ya taifa tu ule wa mikoani na wilayani utabaki vilevile.

Binafsi nina matumaini makubwa juu yako, ni sababu kuu ni historia yako ya kujitolea kwa manufaa ya taifa. Wasio kufahamu hawaujui mchango wako kwa maendeleo ya timu ya taifa kwa hali na mali.

Kama si hii mess up ya Tenga kutupeleka mpera mpera mpaka Oct naamini Tanzania tunge qualify world Cup lakini by the time unaingia ulingoni sadly tutakuwa tushatolewa ( siombi dua baya lakini ndio ukweli) naamini ungesiamamia wewe mechi za Morocco na Ivory Coast tusingekosa walau point 4.

All said and done ombi langu kwako hutajachelewa pengine shirikiana na kamati ya taifa stars tukawafunge Morocco kwao na walau tupate sale ni Ivory Coast nyumbani

Hivi haitoshi hizi kampeni zenu uchwara mkazifanyia huko huko mpaka mje ku-contaminate jukwaa? Tanzania tutabakua na soka la ujanja ujanja wa midomoni tu. Inaudhi sana.
 
Hivi haitoshi hizi kampeni zenu uchwara mkazifanyia huko huko mpaka mje ku-contaminate jukwaa? Tanzania tutabakua na soka la ujanja ujanja wa midomoni tu. Inaudhi sana.

Kampeni ipo wapi? unawajua wajumbe wa mkutano mkuu wa TFF wewe?

Utaudhika sana tu
 
Bw Malinzi.
Sisi tuna akili pia na hatuwezi kupumbazwa kirahisi na kusahau mapema sana.Dioniz ni kaka yako na pia ni Mwenyekiti BMT.Maamuzi ya BMT bila shaka alishiriki.Dioniz tokea ameingia BMT amekuwa akitoa fadhila lukuki kwa Wizara mfano sherehe ya kumuaga Nchimbi na kumkaribisha Mkangala.Je kweli kuna neutrality hapa?.Tunayo track record yako kwenye ndondi kwa snake boy-Rashid Matumla,Mwanadada Saida Karoli kwenye muziki na hata yanga.Wewe naamini si mtu sahihi kuongoza TFF.Huna haiba kuongoza chombo chenye hadhi hiyo japo naamini hata Nyamlani hafai pia.
Inanikera kuona vyombo vyote vya habari vinakutukuza wewe si kwa hoja ya umahiri wako bali jina lako tu.Unapewa airtime kujinadi na wewe unaomba kura bila aibu-rejea kipindi cha sports leo RADIO ONE Ijumaa.
 
malinzi na wambura ni waharibifu wa soka,kwa miaka yote wamekuwa viongizi wa juu kwenye soka la nchi hii sijaona impact yao,sasa sielewi kinachowatoa udenda kwenye hiyo post ya urais.wizi mtupu.
 
Kaka nakushukuru kwa majibu yako.

Kupitia vyanzo vyangu vingine nimepata habari uchaguzi utakao fanyika ni wa ngazi ya taifa tu ule wa mikoani na wilayani utabaki vilevile.

Binafsi nina matumaini makubwa juu yako, ni sababu kuu ni historia yako ya kujitolea kwa manufaa ya taifa. Wasio kufahamu hawaujui mchango wako kwa maendeleo ya timu ya taifa kwa hali na mali.

Kama si hii mess up ya Tenga kutupeleka mpera mpera mpaka Oct naamini Tanzania tunge qualify world Cup lakini by the time unaingia ulingoni sadly tutakuwa tushatolewa ( siombi dua baya lakini ndio ukweli) naamini ungesiamamia wewe mechi za Morocco na Ivory Coast tusingekosa walau point 4.

All said and done ombi langu kwako hutajachelewa pengine shirikiana na kamati ya taifa stars tukawafunge Morocco kwao na walau tupate sale ni Ivory Coast nyumbani

Chumvi imezidi umeharibu ladha ya mboga.!!
 
TFF ni kutamu sana,ipo siku nitaingia tu kwa lengo la kujinemesha na sio kuongoza soka
wachezaji wenyewe ni vichwa vya wendawazimu,ya nini kuumiza kichwa wakati mihela nje nje tu
Malinzi na wengineo mkubali au mkatae TFF ni daraja tu la kuelekea kuwa wabunge
 
Kampeni ipo wapi? unawajua wajumbe wa mkutano mkuu wa TFF wewe?

Utaudhika sana tu

Kwamba Malinzi angesimamia mechi tungeshinda. Ama wewe ni mnafiki, ama ni mpiga ramli.
 
Back
Top Bottom