Umofya kwenu members!
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Kufuatia tukio la jana kwenye mechi kati simba na singida fountain Gate kuna huyu mchezaji wa timu ya singida fountain Gate Waziri ameonesha utovu wa nidhamu wa kupindukia kiasi cha kutaka kumzabua referee wa mchezo kisa kutokukubaliana maamuzi hii ni fedheha kubwa kwake na kwa familia yake kiasi kwamba namhurumia dada yangu Esha Buheti hapo nyumbani maana amedhalilika sana.
Niiombe TFF na ustawi wa jamii wajaribu kayaangalia naisha yao hapo nyumbani kama kunachembechembe za unyanyasaji wa kijinsia anapitia.
Nawasilisha.
Nifah
Bujibuji Simba Nyamaume
GENTAMYCINE
Kalpana
Shunie
MK254
aise
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Kufuatia tukio la jana kwenye mechi kati simba na singida fountain Gate kuna huyu mchezaji wa timu ya singida fountain Gate Waziri ameonesha utovu wa nidhamu wa kupindukia kiasi cha kutaka kumzabua referee wa mchezo kisa kutokukubaliana maamuzi hii ni fedheha kubwa kwake na kwa familia yake kiasi kwamba namhurumia dada yangu Esha Buheti hapo nyumbani maana amedhalilika sana.
Niiombe TFF na ustawi wa jamii wajaribu kayaangalia naisha yao hapo nyumbani kama kunachembechembe za unyanyasaji wa kijinsia anapitia.
Nawasilisha.
Nifah
Bujibuji Simba Nyamaume
GENTAMYCINE
Kalpana
Shunie
MK254
aise