Kwani ulikuwa unasubiria msaada wake pia mkuu, navyokumbuka alisema atatoa kwa watu ambao hawawezi kulipa kodi kwa njia yoyote ile mfano walemavu na wazee
Kingine katika mji wa zaidi ya watu million 5 ambao wengi ni maskini, huoni chance ya kupata ni ndogo mno mkuu