SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,244
- 4,258
Dada Nai, Hujambo? Tangu ujiunge JF nimekuwa nikikusoma sana mpaka nikakuelewa, nikakufahamu kisha nikakuona. Maandishi yako yanaeleza mengi sana juu yako: tabia, mtazamo, na falsafa yako ya maisha. Usichukie dada yangu utakaposoma haya ntakayoandika ila ntakuomba uyazingatie na kuyafanyia kazi upate kuishi kwa furaha zaidi.
Ninavyokuona wewe ni mtu mwenye majivuno na usiyependa watu, hasa wanaume.Nianze na signature yako. Wasema eti wewe ni mchanganyiko wa Mwarusha na Mchaga halafu eti hata kiarusha wala kichaga hufahamu. Tena unaelekea kujivuna kwamba huzijui hizi lugha za wazazi wako. Nakushangaa dear wangu. Ulikulia wapi ukashindwa kufahamu moja ya lugha ya wazazi wako? Mimi kwa mfano, baba yangu ni mtu wa thailand na mama anatoka sehemu inaitwa Kwa Maangulwa huko Mkuu Rombo, na kirombo nakiteremsha vya kutosha. Iweje wewe ukashindwa kumudu moja ya lugha za wazazi wako?
Ulikuja na thread moja kwamba wanaume wanakusumbua, kwamba ulichukizwa na boyfriend mlevi ukaachana naye, ukampata Mdenishi ukamwacha eti alikuomba kitu ambacho hukupenda kumpa halafu sasa unaye mwingine anayeku'chafua' mkiwa faragha! Yote haya ni dalili ya maringo na majivuno yakoyaliyopitiliza kiasi chake. Kama hawa wanaume walikuwa na mapungufu yao, wewe je umekamilika? Usitafute malaika hapa duniani,hawapo! Kuna mchangiaji mmoja mwanamke alikupa ukweli kwamba hayo majimaji yaliokudondokean mwilini ukayaita uchafu, wanawake wenzio wanakunywa na kuogea kwa sababu wanayaita 'juisi ya mapenzi (love juice) na kuna thread moja inaeleza juu ya utafiti uliofanywa kuhusu faida ya shahawa kwenye mwili wa mwanamke. Badilika dada yangu, shahawa zinatafutwa kwa udi na uvumba!
Halafu ukaja na thread ya 'Faulty Assumptions.........' Thread hii imejaa chuki ulizonazo kwa wanaume, ila ukazifunika kiujanjaujanja tusikushtukie. Yaani unataka kutuaminisha kwamba mwanamke akimwambia mwanaume 'Hapana, sitaki urafiki na wewe' basi mwanaume akunje mkia na kwenda zake? Haiwezekani iwapo huyo mwanaume anampenda sana. Wewe sasa hivi ni mtu mzima.Hebu fikiria siku ile Mzee Lekangai alipokutana na mama yako. Kulikuwepo na hapana nyingi sana kutoka kwa mama lakini kijana Lekangai akajitutumua kiume na mwishowe ukazaliwa! Lekangai angeishia zake baada ya kuambiwa 'Hapana' wallahi tusingepata bahati ya kumwona mtu kama wewe hapa JF.
Juu ya Orientation ya JF nakuunga mkono. Upo huo uhitaji wa kufahamishwa mambo na maujanja ya JF. Lakini kama wewe ni computer literate (which I hope you are) tumia ile kanuni ya kitaalamu ya 'trial and error'. Nimeona kwa mfano umesumbuka kukopy and paste thread za watu wakati wa kujibu. Hayo ni majasho ya bure! Kila ukurasa, chini upande wa kulia kuna maneno: Reply with Quote. Bofya hapo na usumbufu wa kopy n paste utaisha. Na pia umeshaambiwa PM siyo Prime Minister ila ni Private Message yaani kuwasiliana kwa faragha.Hii utaiweza sana mana kama uliweza kuweka signature na avatar, PM haitakushinda.
Kama shida ni kubwa kwa mfano ni malalamiko au chochote kuhusu JF wasiliana na wawezeshaji wa humu JF wanaoitwa Moderators au kwa kifupi Mods. Unawafahamu? List yao ni hii: 1. Invisible 2 Buchanan 3. Paw 4. Fang 5. Cookie 6 Silencer 7. Mike McKee na kuna mama mmoja kipenzi cha wengi na gwiji wa Kifaransa anaitwa Roulette.
Mwisho, ukitaka kumjulisha mtu kwamba umemtaja mahali tumia alama @ kabla ya username yake. Ukifanya hivyo username inakuwa bluu. Hapo juu nimewajulisha mods kwamba nimewataja.
Haya asante. Kabla sijasahau: Shemeji yetu Mdenish yuko wapi? Usimwogope bwana!
Ninavyokuona wewe ni mtu mwenye majivuno na usiyependa watu, hasa wanaume.Nianze na signature yako. Wasema eti wewe ni mchanganyiko wa Mwarusha na Mchaga halafu eti hata kiarusha wala kichaga hufahamu. Tena unaelekea kujivuna kwamba huzijui hizi lugha za wazazi wako. Nakushangaa dear wangu. Ulikulia wapi ukashindwa kufahamu moja ya lugha ya wazazi wako? Mimi kwa mfano, baba yangu ni mtu wa thailand na mama anatoka sehemu inaitwa Kwa Maangulwa huko Mkuu Rombo, na kirombo nakiteremsha vya kutosha. Iweje wewe ukashindwa kumudu moja ya lugha za wazazi wako?
Ulikuja na thread moja kwamba wanaume wanakusumbua, kwamba ulichukizwa na boyfriend mlevi ukaachana naye, ukampata Mdenishi ukamwacha eti alikuomba kitu ambacho hukupenda kumpa halafu sasa unaye mwingine anayeku'chafua' mkiwa faragha! Yote haya ni dalili ya maringo na majivuno yakoyaliyopitiliza kiasi chake. Kama hawa wanaume walikuwa na mapungufu yao, wewe je umekamilika? Usitafute malaika hapa duniani,hawapo! Kuna mchangiaji mmoja mwanamke alikupa ukweli kwamba hayo majimaji yaliokudondokean mwilini ukayaita uchafu, wanawake wenzio wanakunywa na kuogea kwa sababu wanayaita 'juisi ya mapenzi (love juice) na kuna thread moja inaeleza juu ya utafiti uliofanywa kuhusu faida ya shahawa kwenye mwili wa mwanamke. Badilika dada yangu, shahawa zinatafutwa kwa udi na uvumba!
Halafu ukaja na thread ya 'Faulty Assumptions.........' Thread hii imejaa chuki ulizonazo kwa wanaume, ila ukazifunika kiujanjaujanja tusikushtukie. Yaani unataka kutuaminisha kwamba mwanamke akimwambia mwanaume 'Hapana, sitaki urafiki na wewe' basi mwanaume akunje mkia na kwenda zake? Haiwezekani iwapo huyo mwanaume anampenda sana. Wewe sasa hivi ni mtu mzima.Hebu fikiria siku ile Mzee Lekangai alipokutana na mama yako. Kulikuwepo na hapana nyingi sana kutoka kwa mama lakini kijana Lekangai akajitutumua kiume na mwishowe ukazaliwa! Lekangai angeishia zake baada ya kuambiwa 'Hapana' wallahi tusingepata bahati ya kumwona mtu kama wewe hapa JF.
Juu ya Orientation ya JF nakuunga mkono. Upo huo uhitaji wa kufahamishwa mambo na maujanja ya JF. Lakini kama wewe ni computer literate (which I hope you are) tumia ile kanuni ya kitaalamu ya 'trial and error'. Nimeona kwa mfano umesumbuka kukopy and paste thread za watu wakati wa kujibu. Hayo ni majasho ya bure! Kila ukurasa, chini upande wa kulia kuna maneno: Reply with Quote. Bofya hapo na usumbufu wa kopy n paste utaisha. Na pia umeshaambiwa PM siyo Prime Minister ila ni Private Message yaani kuwasiliana kwa faragha.Hii utaiweza sana mana kama uliweza kuweka signature na avatar, PM haitakushinda.
Kama shida ni kubwa kwa mfano ni malalamiko au chochote kuhusu JF wasiliana na wawezeshaji wa humu JF wanaoitwa Moderators au kwa kifupi Mods. Unawafahamu? List yao ni hii: 1. Invisible 2 Buchanan 3. Paw 4. Fang 5. Cookie 6 Silencer 7. Mike McKee na kuna mama mmoja kipenzi cha wengi na gwiji wa Kifaransa anaitwa Roulette.
Mwisho, ukitaka kumjulisha mtu kwamba umemtaja mahali tumia alama @ kabla ya username yake. Ukifanya hivyo username inakuwa bluu. Hapo juu nimewajulisha mods kwamba nimewataja.
Haya asante. Kabla sijasahau: Shemeji yetu Mdenish yuko wapi? Usimwogope bwana!