Kwahiyo dada yake Polepole katekwa?

Kwahiyo dada yake Polepole katekwa?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,159
Reaction score
162,581
Hili ndio swali ninalojiuliza hasa baada ya kusoma maelezo ya Maria Sarungi kwenye mtandao wa X .

Katika andiko lake kwa lugha ya kingereza zaidi ya muda wa lisaa limoja lililopita, amegusia kuwa dada yake Polepole ametekwa(abducted)

Swali ni ametekwa au wavamizi wameishia tu kuruka ukuta na kuingia na kisha kutoka?
 
Kwa hiyo kuteka na "kuumiza" ndio dira ta Taifa kwa sasa?
Imeingizwa ktk Dira ya 2050? Very bad
 
Hili ndio swali ninalojiuliza hasa baada ya kusoma maelezo ya Maria Sarungi kwenye mtandao wa X .

Katika andiko lake kwa lugha ya kingereza zaidi ya muda wa lisaa limoja lililopita, amegusia kuwa dada yake Polepole ametekwa(abducted)

Swali ni ametekwa au wavamizi wameishia tu kuruka ukuta na kuingia na kisha kutoka?
🥶
 
Back
Top Bottom