Kama Mimi ningekua huyo bashite anayefanya nchi inachefuka hivi na kwa kashfa zinazoendelea nchini juu yake na kwa namna anavyoendelea kushushia Hadhi mamlaka ya uteuzi na jiji la dar kwaujumla ...ingekua Mimi ningeshaandika barua ya kujiuzulu mapema sana ili kupisha wasio na kashfa waongoze.