Mao Tanzania
JF-Expert Member
- Nov 23, 2018
- 210
- 231
Asalam,
Mbiu zilipigwa, Kelele zilisikika, Wazalenda wakasema Sasa huu Ni mkuki wa mwisho kwa Adui Rushwa.
Msamiati wa kukata ukatamalaki, Mwenezi Polepole akafoka, kila alipopita akaonekana mbabe, mwenye nguvu, kuliko Hata Katibu Mkuu Kakurwa Bashiru.
Watia nia walimuogopa, alionekana Hana Mbwembwe. TAKUKURU ikasema inaiachia CCM imalizane na watu wake. Wazalendo wakakaa mkao wa kula.
Walioitwa walarushwa wameshinda, mkataji akasoma majina yote, akapokea taarifa zote, akaona Hata ambayo wananchi hawakuyaona. Lakini wameshinda.
Kwaheri Vita ya Rushwa, hitima imeshafanyika, Sasa tumeingia rasmi Siasa za nguvu ya pesa. Masikini na wanyonge tunawaombea heri katika maisha yenu.
KARIBU NGUVU YA PESA
Mbiu zilipigwa, Kelele zilisikika, Wazalenda wakasema Sasa huu Ni mkuki wa mwisho kwa Adui Rushwa.
Msamiati wa kukata ukatamalaki, Mwenezi Polepole akafoka, kila alipopita akaonekana mbabe, mwenye nguvu, kuliko Hata Katibu Mkuu Kakurwa Bashiru.
Watia nia walimuogopa, alionekana Hana Mbwembwe. TAKUKURU ikasema inaiachia CCM imalizane na watu wake. Wazalendo wakakaa mkao wa kula.
Walioitwa walarushwa wameshinda, mkataji akasoma majina yote, akapokea taarifa zote, akaona Hata ambayo wananchi hawakuyaona. Lakini wameshinda.
Kwaheri Vita ya Rushwa, hitima imeshafanyika, Sasa tumeingia rasmi Siasa za nguvu ya pesa. Masikini na wanyonge tunawaombea heri katika maisha yenu.
KARIBU NGUVU YA PESA