Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,682
- 46,371
Alikuwa anafanya nini huko ughaibuni?
JPM alimleta yule jamaa kutoka ughaibuni asimamie TTCL akawa apigana kwelikweli.
Baada ya JPM kufariki yule jamaa akaondolewa hapo na nadhani amepewa nafasi ya kisiasa ya ukatibu tarafa au kitu kingine.