Kwaheri startimes

Kwaheri startimes

mpenda pombe

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2010
Posts
1,410
Reaction score
722
Startimes inaendelea kutukaba koo sisi wanyonge wa hali ya chini kwa kupunguza channels.

Kwa sisi tunaolipia tsh 10,000/= kwa mwezi wametufungia channels 5

B4u music
St kungfu 1
Bet
Viasat N+H
FNL



Na kufungua tulizokua hatuzioni tatu tu.

B4U Movie
Star One
Wap TV

Kwa hali hii nahamia rasmi Azam tv.

Naamini azam tv imekuja kwa ajili ya sisi
Wa hali ya chini ukilipia tsh 12500 unaangalia channels zote..
 
ahaaaa kumbe ndivyo walivyofanya eee!!! nikajua tv imeharibika
 
ebu watueleze vizuri kuhusu hili, ila naona atleast wanajitahidi
 
unayo laki..???! Hii ndoa umeshafungishwa tena ya kikristo..!

Hela ya dish na decorder sio tatizo mkuu..

Nafanya maamuzi sahihi nipate huduma iliyobora na uhakika. Hawa startimes wamejisahau sana.
 
Azam tv ndo mpango mzima! Wapo mpaka huku kijijini kwetu, tofauti na huko uliko wanacheza na majiji tu! Karibu sana
 
Hela ya dish na decorder sio tatizo mkuu..

Nafanya maamuzi sahihi nipate huduma iliyobora na uhakika. Hawa startimes wamejisahau sana.

Ukiwekeza maisha yako kwenye decoder kama ulivyo wewe, maisha yako yatabaki kuwa ya kulalamika tu. Huko Azam nako wanafunga Channel zote kama hukulipia, utakuja tena hapa ulalamike. Mvua ikinyesha na dish kupoteza signal utakuja tena hapa ulalamike. Wakichelewa kukuunganisha baada ya kulipia utarudi tena hapa ulalamike.
Hebu weka maisha yako katika mambo msingi sio kulia lia tu hapa kwa sababu umepunguziwa channel mbili za Mambo. Hivi unajua kama imeingizwa channel mpya ya Swahili na imewekwa kwenye Mambo? Hivi unajua kama Startimes wana channel nyingi za kuona bure hata kama hujalipia kwa mwaka mzima?
Ova
 
Mkuu mnyonge mie sina pakulalamikia..
Huwezi linganisha star swahili na BET.

Hakika kwangu me wamenikera sana. Siwezi kaa kimya.

Maamuzi ya kuhama na kwenda Azam tv siyajutii.




Ukiwekeza maisha yako kwenye decoder kama ulivyo wewe, maisha yako yatabaki kuwa ya kulalamika tu. Huko Azam nako wanafunga Channel zote kama hukulipia, utakuja tena hapa ulalamike. Mvua ikinyesha na dish kupoteza signal utakuja tena hapa ulalamike. Wakichelewa kukuunganisha baada ya kulipia utarudi tena hapa ulalamike.
Hebu weka maisha yako katika mambo msingi sio kulia lia tu hapa kwa sababu umepunguziwa channel mbili za Mambo. Hivi unajua kama imeingizwa channel mpya ya Swahili na imewekwa kwenye Mambo? Hivi unajua kama Startimes wana channel nyingi za kuona bure hata kama hujalipia kwa mwaka mzima?
Ova
 
Ukiwekeza maisha yako kwenye decoder kama ulivyo wewe, maisha yako yatabaki kuwa ya kulalamika tu. Huko Azam nako wanafunga Channel zote kama hukulipia, utakuja tena hapa ulalamike. Mvua ikinyesha na dish kupoteza signal utakuja tena hapa ulalamike. Wakichelewa kukuunganisha baada ya kulipia utarudi tena hapa ulalamike.
Hebu weka maisha yako katika mambo msingi sio kulia lia tu hapa kwa sababu umepunguziwa channel mbili za Mambo. Hivi unajua kama imeingizwa channel mpya ya Swahili na imewekwa kwenye Mambo? Hivi unajua kama Startimes wana channel nyingi za kuona bure hata kama hujalipia kwa mwaka mzima?
Ova
Hakika mkuu ,mimi na startimes navyo ving'amuzi viwili moja nyumbani na kingine dukani
 
Back
Top Bottom