Hello JF
Watu wengi walikuwa wakijaribu kufikiria kwamba mama atamkumbuka aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam bwana Paul Makonda kwa kumpa uteuzi wa ukuu wa mkoa wowote ule hapa nchini
Wengi walienda mbali zaidi kwa kupendekeza mpaka Rais Samia Ampangie mkoa upi huku mkoa wa Dar es salaam ukiwa na namba moja kwamba kijana huyo aliupatia sana hivyo arudishiwe
Mambo yamekwenda ndivyo sivyo, Mama ameamua kurudi ccm asilia na hapa wale waliokuwa na kibri kwa sababu ya awamu ya tano hawana nafasi tena
Kwa sasa Paul Makonda haamini anachokiona, Rais amemsahau mazima na utumishi wa umma ataishia kuusoma kwenye gazeti la Uhuru na Tanzanite
Watu wengi walikuwa wakijaribu kufikiria kwamba mama atamkumbuka aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam bwana Paul Makonda kwa kumpa uteuzi wa ukuu wa mkoa wowote ule hapa nchini
Wengi walienda mbali zaidi kwa kupendekeza mpaka Rais Samia Ampangie mkoa upi huku mkoa wa Dar es salaam ukiwa na namba moja kwamba kijana huyo aliupatia sana hivyo arudishiwe
Mambo yamekwenda ndivyo sivyo, Mama ameamua kurudi ccm asilia na hapa wale waliokuwa na kibri kwa sababu ya awamu ya tano hawana nafasi tena
Kwa sasa Paul Makonda haamini anachokiona, Rais amemsahau mazima na utumishi wa umma ataishia kuusoma kwenye gazeti la Uhuru na Tanzanite