Yeah nafahamu, nimepata hiyo shida pia...
View attachment 3547703
But sio kwamba ndio app kimeo, jamaa wanajitahidi sana kiasi kwamba kwa mwaka unaweza kukuta wana downtime ya mara 1 au 2 tu...
Natumia app yao, master card yao ya tanzanite (tap service) na prepaid card yao nikiwa nchi yeyote...