Kwaheri mchepuko Wangu

Kwaheri mchepuko Wangu

Mghoshingwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2011
Posts
305
Reaction score
73
Wakuu poleni kwa majukumu. Kabla hujafa hujaumbika ( unaweza pia kukumbuka). Miaka mitatu (3) iliyopita nilitokea kumpenda mdada mmoja wa kimachame kama mchepuko (maana nimeona na Nina familia). Tuliishi kwa amani na utulivu Mimi na huyo mchepuko...bila kuathiri Huduma za msingi za familia yangu. Cha kushangaza kila muda unavyo kwenda anaongeza wivu na Mimi kiasi ambacho kuna muda ana ninunia na kuona eti naegamia kwenye familia tu. Nikaanza kushtuka...! Miez 2 iliyo pita tuli gombana kidogo akanitumia Ujumbe wa kuniacha , nika kuomba radhi yakaisha.

Jana nili kwenda Ku mpick maeneo ya mbuyuni pale Morocco, nilipo fika kituoni nika park , hayupo abadai yuko ofisini anakuja. Aka nikalisha sana. Ulikuwa muda wa SAA 12 hivi. Akaja....nilivyo muuliza kwanini amechelewa na pale hakuna parking aka ninunia. Mpaka muda huu kanyamaza na Jana hukupokea simu ..anasema hutaki kuongea. NIWE MUWAZI nampenda huyu binti...ila naona kama ana ni mistreat. Mwenge ushauri wowote naomba plz. Ila Nina nia ya kumuacha rasmi.

Ni hayo tu .
 
Ungesoma engineering usingeli kuwa una BWABWAJA katika uandishi wako....

Sio "nimeona na nina familia" sema "nimeoa na nina familia"

Sio "nikakuomba radhi" sema "nikamuomba radhi"

Sio "abadai yuko ofisini" sema "anadai yuko ofisini"

Sio hukupokea simu" sema "hakupokea simu"

Sio "hutaki kuongea" sema "hataki kuongea"

Sio "Mwenge ushauri wowote" sema "Mwenye ushauri wowote"

Mlikua wapi kusoma Engineering.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
rip masaburi uliishi maisha ya ukweli kabisa kama baba yetu ibrahimu na yakobo
sinaga flavour kabisa kudate mume wa mtu hata awe na offer gani
Mmmh....usiseme hivyo. Mapema sana. Duniani kuna Kuumbika na kuumbuka.
 
kapata mwenzie , kama unapenda familia yako achana naye sababu anakoelekea ni kukuvuruga zaidi.... ameshindwa kuheshimu mipaka yake , ameanza kujilinganisha na mkeo atafika mahali atakuita usiku wa manane umwache mkeo kitandani umfuate... pamoja na yote acha ubinafsi, why you put your marriage at risk?
 
Ungesoma engineering usingeli kuwa una BWABWAJA katika uandishi wako....

Sio "nimeona na nina familia" sema "nimeoa na nina familia"

Sio "nikakuomba radhi" sema "nikamuomba radhi"

Sio "abadai yuko ofisini" sema "anadai yuko ofisini"

Sio hukupokea simu" sema "hakupokea simu"

Sio "hutaki kuongea" sema "hataki kuongea"

Sio "Mwenge ushauri wowote" sema "Mwenye ushauri wowote"

Mlikua wapi kusoma Engineering.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Na wewe dogo na huo uinjinia wako unakuwa kama ndio wa kwanza kusoma engineering asee, kua basi ukomae kidogo jamii ione uinjinia ndani yako da!
 
kapata mwenzie , kama unapenda familia yako achana naye sababu anakoelekea ni kukuvuruga zaidi.... ameshindwa kuheshimu mipaka yake , ameanza kujilinganisha na mkeo atafika mahali atakuita usiku wa manane umwache mkeo kitandani umfuate... pamoja na yote acha ubinafsi, why you put your marriage at risk?
Nime kuelewa miss. Mambo ya umri tu miss.
 
Nime kuelewa miss. Mambo ya umri tu miss.
achana na hiyo itakugharimu soon or later.. kuwa mwanaume si kudinda na kuchomeka kwenye kila uke.. mwanaume anayejielewa anayeheshimu familia yake na kuangalia future ya familia yake kimaendeleo, HAKUNA MWANAUME ALIYEWEKEZA KWENYE MBUNYE AKAFANIKIWA ZAIDI WANAKUPOTEZEA MUDA.. REFER TO KING SOLOMON.......... familia yako kwanza mkuu... embu kaa mwezi bila kuchepuka bila kutongoza mwanagalie mkeo alivyoumbika mpe nafasi yake mtoe out uone kama hutafurahia maisha
 
Ungesoma engineering usingeli kuwa una BWABWAJA katika uandishi wako....

Sio "nimeona na nina familia" sema "nimeoa na nina familia"

Sio "nikakuomba radhi" sema "nikamuomba radhi"

Sio "abadai yuko ofisini" sema "anadai yuko ofisini"

Sio hukupokea simu" sema "hakupokea simu"

Sio "hutaki kuongea" sema "hataki kuongea"

Sio "Mwenge ushauri wowote" sema "Mwenye ushauri wowote"

Mlikua wapi kusoma Engineering.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
These are spelling mistakes. Deal with the logic. Nina familia ...sijaoa
 
These are spelling mistakes. Deal with the logic. Nina familia ...sijaoa
wewe wee rekebisha kauli yako unafikiria kuoa ni kuvaa shela acha acha kabisa haraka sana... umezaa una mtoto usitengeneze mazingira ya kumpa shida mwanao sababu ya mbunye za nje tulia muda unaotumia kutia huko nje unaweza kaa na mwanao mkacheza au ukalima mboga za majani kwenye ndoo ...ACHA KABISA NISIKUSIKIE .
 
wewe wee rekebisha kauli yako unafikiria kuoa ni kuvaa shela acha acha kabisa haraka sana... umezaa una mtoto usitengeneze mazingira ya kumpa shida mwanao sababu ya mbunye za nje tulia muda unaotumia kutia huko nje unaweza kaa na mwanao mkacheza au ukalima mboga za majani kwenye ndoo ...ACHA KABISA NISIKUSIKIE .

Manka hongera sana kwa kuongea ukweli.
 
Back
Top Bottom