TheMaster
Member
- Aug 10, 2023
- 61
- 131
Huko miaka ya 2000s baba aliwahi kunambia kuwa Mbowe na ZZK ni vijana wa mfumo, wanaeongoza vyama vya upinzani lakini kwa kulinda na kusimamia miongozo waliyopewa na mfumo.
Kitendo cha Mbowe kukabidhi madaraka kwa mtu mwengine rasmi inaonesha hatokuwa na mamlaka tena ya kutaka na kuamua namna gani chama kitajiendesha.
Nimetafakari mambo mawili unprecedented yalojitokeza baada ya Mbowe kuaga uenyeketi.
1. Kiongozi wa Chama cha CHADEMA kutuhumiwa hatia ya Uhaini, kitu ambacho hakikuwahi kutokea kwa kiongozi yeyote wa chama kabla.
2. CHADEMA kutokushiriki uchaguzi mwaka 2025-2030; hii huwenda ikaiondoa kabisa CHADEMA kwenye ramani ya kisiasa Tanzania kwasababu ni hatari kujiita chama kikuu cha upinzani bila uwakilishi wowote kwenye dimba za kisiasa hususani Bungeni na baraza la uwakilishi kadhalika nafasi za udiwani.
Hadi mwaka 2020, CHADEMA itakuwa imeshapoteza umaarufu na mvuto kwa kiasi kikubwa saana.
Kuondoka kwa mbowe, kumefunga milango ya hikima na busara CHADEMA
Kuondoka kwa Mbowe kumezima Nuru ya Chama, mwanga wa kibatari unaoelekea kuzima unategemea zaidi busara za Utawala na sio uongozi wa Chama husika.
KWAHERI MBOWE, KWAHERI CHADEMA
Kitendo cha Mbowe kukabidhi madaraka kwa mtu mwengine rasmi inaonesha hatokuwa na mamlaka tena ya kutaka na kuamua namna gani chama kitajiendesha.
Nimetafakari mambo mawili unprecedented yalojitokeza baada ya Mbowe kuaga uenyeketi.
1. Kiongozi wa Chama cha CHADEMA kutuhumiwa hatia ya Uhaini, kitu ambacho hakikuwahi kutokea kwa kiongozi yeyote wa chama kabla.
2. CHADEMA kutokushiriki uchaguzi mwaka 2025-2030; hii huwenda ikaiondoa kabisa CHADEMA kwenye ramani ya kisiasa Tanzania kwasababu ni hatari kujiita chama kikuu cha upinzani bila uwakilishi wowote kwenye dimba za kisiasa hususani Bungeni na baraza la uwakilishi kadhalika nafasi za udiwani.
Hadi mwaka 2020, CHADEMA itakuwa imeshapoteza umaarufu na mvuto kwa kiasi kikubwa saana.
Kuondoka kwa mbowe, kumefunga milango ya hikima na busara CHADEMA
Kuondoka kwa Mbowe kumezima Nuru ya Chama, mwanga wa kibatari unaoelekea kuzima unategemea zaidi busara za Utawala na sio uongozi wa Chama husika.
KWAHERI MBOWE, KWAHERI CHADEMA