Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,617
Happy new year 2017
Like wise mkuu... Babati mlisherekeaje?Happy new year 2017
Tulikuwa kanisaniLike wise mkuu... Babati mlisherekeaje?
Safi sana mkuuTulikuwa kanisani
Safi sana mkuu
Msimamo wangu uheshimiwe .Kwenye familia ya Baba yangu tukikaa tunabishana sana kwenye masuala ya siasa na sisi tupo wanne vijana ila wote tunatofautiana kuna CCM na vyama mbadala kama CDM ila hatuwezi chukiana ni ujinga na upuuzi.
Hata ikithibitishwa kwamba baadhi ya watu wanapotea kwa ajili ya masuala ya siasa ni suala la kuangalia upya sisi ni ndugu moja na hata tofauti zetu ni kwa maslahi ya Nchi yetu tu na sio vinginevyo.
Happy new year in advance
Tafuta japo nauli ya kwenda na kurudi, na pesa ya hotel kama ya siku 3 hivi!Ninakaa Dodoma sijawahi ona hiyo