King Kong III
Platinum Member
- Oct 15, 2010
- 62,515
- 94,141
Niaje Wazeiya wa JLL?
Ebwana kuna msemo nausikia sana kwenye social network yani "KWAFASI YA DWASI" hivi una maana gani na ni lugha ya wapi?
Ebwana kuna msemo nausikia sana kwenye social network yani "KWAFASI YA DWASI" hivi una maana gani na ni lugha ya wapi?