Kwa yeyote anayehitaji kuandikiwa Proposal

Kwa yeyote anayehitaji kuandikiwa Proposal

Kijana leo

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
2,860
Reaction score
812
kwa yule anayehitaji kuandikiwa andiko la mradi ( project poposal), andiko la utafiti (research proposal), mchanganuo wa biashara (Bussiness plan), facilitator (muwezeshaji katika masuala ya ujasiriamali, afya ya uzazi, VVU/UKIMWI), elimu ya vijana katika kuunda vikundi vya kuweka na kukopa (GSLA/VSLA) kwa kuwatengenezea katiba na mfumo wa kumbukumbu, ripoti ya utafiti,kuandaa bonanza, programu za kusaidia jamii, katiba ya kufungua NGO, MOU ya kampuni, na kupata mawazo mazuri ya kibiashara na kisiasa kujijenga, karibu tuwasiliane kwenye pm mimi ni kijana niliyeamua kutumia taaluma yangu kuweza kujiongezea kipato, nakaribia kumaliza ajira yangu ya mkataba hivi karibuni kulingana na mradi kuisha, hivyo natumia muda huu kufanya shughuli hizo binafsi. karibuni sana pia kwa mtu asiyekuwa na uwezo lakini ana nia ya kujisaidia naweza msaidia. asanteni. kwa pamoja tukishirikiana tutafikia malengo.
 
as ante kwa taarifa nitakutafuta ukifika muda wangu. nahitaji kuandaliwa proposals na jinsi ya kuanzisha vikundi vya ujasiriamali
 
as ante kwa taarifa nitakutafuta ukifika muda wangu. nahitaji kuandaliwa proposals na jinsi ya kuanzisha vikundi vya ujasiriamali

karibu sana, hapa mtaani kwangu hii elimu ya vikundi natoa bure na tayari watu wameanza kukopeshana mitaji ya biashara.
 
kwa yule anayehitaji kuandikiwa andiko la mradi ( project poposal), andiko la utafiti (research proposal), mchanganuo wa biashara (Bussiness plan), facilitator (muwezeshaji katika masuala ya ujasiriamali, afya ya uzazi, VVU/UKIMWI), elimu ya vijana katika kuunda vikundi vya kuweka na kukopa (GSLA/VSLA) kwa kuwatengenezea katiba na mfumo wa kumbukumbu, ripoti ya utafiti,kuandaa bonanza, programu za kusaidia jamii, katiba ya kufungua NGO, MOU ya kampuni, na kupata mawazo mazuri ya kibiashara na kisiasa kujijenga, karibu tuwasiliane kwenye pm mimi ni kijana niliyeamua kutumia taaluma yangu kuweza kujiongezea kipato, nakaribia kumaliza ajira yangu ya mkataba hivi karibuni kulingana na mradi kuisha, hivyo natumia muda huu kufanya shughuli hizo binafsi. karibuni sana pia kwa mtu asiyekuwa na uwezo lakini ana nia ya kujisaidia naweza msaidia. asanteni. kwa pamoja tukishirikiana tutafikia malengo.

Unapatikanaje? nina wazo la kuanzisha Hostel kwa ajili ya wanafunzi hapa Ntwara!
 
kwa yule anayehitaji kuandikiwa andiko la mradi ( project poposal), andiko la utafiti (research proposal), mchanganuo wa biashara (Bussiness plan), facilitator (muwezeshaji katika masuala ya ujasiriamali, afya ya uzazi, VVU/UKIMWI), elimu ya vijana katika kuunda vikundi vya kuweka na kukopa (GSLA/VSLA) kwa kuwatengenezea katiba na mfumo wa kumbukumbu, ripoti ya utafiti,kuandaa bonanza, programu za kusaidia jamii, katiba ya kufungua NGO, MOU ya kampuni, na kupata mawazo mazuri ya kibiashara na kisiasa kujijenga, karibu tuwasiliane kwenye pm mimi ni kijana niliyeamua kutumia taaluma yangu kuweza kujiongezea kipato, nakaribia kumaliza ajira yangu ya mkataba hivi karibuni kulingana na mradi kuisha, hivyo natumia muda huu kufanya shughuli hizo binafsi. karibuni sana pia kwa mtu asiyekuwa na uwezo lakini ana nia ya kujisaidia naweza msaidia. asanteni. kwa pamoja tukishirikiana tutafikia malengo.
Kaka kwanini usitumie skills zako kuandika proposals kwenye miradi mikubwa kama WHO, IMF n.k ili ulisaidie taifa na wewe mwenyewe at the macro level kuliko kuwaandikia watu utafiti ambao baadae watahitimu bila kuwa na skills zao wenyewe za katika kuandika tafiti? Jitahidi uwasaidie watu kupata skills ili kuwe na multiplier effects kuliko kuwafanyia na kuwapa ready made proposals hayo ni mawazo tu
 
Kaka kwanini usitumie skills zako kuandika proposals kwenye miradi mikubwa kama WHO, IMF n.k ili ulisaidie taifa na wewe mwenyewe at the macro level kuliko kuwaandikia watu utafiti ambao baadae watahitimu bila kuwa na skills zao wenyewe za katika kuandika tafiti? Jitahidi uwasaidie watu kupata skills ili kuwe na multiplier effects kuliko kuwafanyia na kuwapa ready made proposals hayo ni mawazo tu
Well said password 10
 
Kaka kwanini usitumie skills zako kuandika proposals kwenye miradi mikubwa kama WHO, IMF n.k ili ulisaidie taifa na wewe mwenyewe at the macro level kuliko kuwaandikia watu utafiti ambao baadae watahitimu bila kuwa na skills zao wenyewe za katika kuandika tafiti? Jitahidi uwasaidie watu kupata skills ili kuwe na multiplier effects kuliko kuwafanyia na kuwapa ready made proposals hayo ni mawazo tu

mawazo mazuri ndugu yangu, huko unakosemea ni sekta rasmi, ila mm nasaidia sekta isiyo rasmi, ila najitahidi nifanyie kazi ushauri wako.
 
Upo wap?


Sent from my iPhone 5 using JamiiForums
 
kwa yule anayehitaji kuandikiwa andiko la mradi ( project poposal), andiko la utafiti (research proposal), mchanganuo wa biashara (Bussiness plan), facilitator (muwezeshaji katika masuala ya ujasiriamali, afya ya uzazi, VVU/UKIMWI), elimu ya vijana katika kuunda vikundi vya kuweka na kukopa (GSLA/VSLA) kwa kuwatengenezea katiba na mfumo wa kumbukumbu, ripoti ya utafiti,kuandaa bonanza, programu za kusaidia jamii, katiba ya kufungua NGO, MOU ya kampuni, na kupata mawazo mazuri ya kibiashara na kisiasa kujijenga, karibu tuwasiliane kwenye pm mimi ni kijana niliyeamua kutumia taaluma yangu kuweza kujiongezea kipato, nakaribia kumaliza ajira yangu ya mkataba hivi karibuni kulingana na mradi kuisha, hivyo natumia muda huu kufanya shughuli hizo binafsi. karibuni sana pia kwa mtu asiyekuwa na uwezo lakini ana nia ya kujisaidia naweza msaidia. asanteni. kwa pamoja tukishirikiana tutafikia malengo.




kwa yule anayehitaji kuandikiwa andiko la mradi ( project poposal), andiko la utafiti (research proposal), mchanganuo wa biashara (Bussiness plan), facilitator (muwezeshaji katika masuala ya ujasiriamali, afya ya uzazi, VVU/UKIMWI), elimu ya vijana katika kuunda vikundi vya kuweka na kukopa (GSLA/VSLA) kwa kuwatengenezea katiba na mfumo wa kumbukumbu, ripoti ya utafiti,kuandaa bonanza, programu za kusaidia jamii, katiba ya kufungua NGO, MOU ya kampuni, na kupata mawazo mazuri ya kibiashara na kisiasa kujijenga, karibu tuwasiliane kwenye pm mimi ni kijana niliyeamua kutumia taaluma yangu kuweza kujiongezea kipato, nakaribia kumaliza ajira yangu ya mkataba hivi karibuni kulingana na mradi kuisha, hivyo natumia muda huu kufanya shughuli hizo binafsi. karibuni sana pia kwa mtu asiyekuwa na uwezo lakini ana nia ya kujisaidia naweza msaidia. asanteni. kwa pamoja tukishirikiana tutafikia malengo.

no yako mkuuu
 
Back
Top Bottom