Nyamesocho
JF-Expert Member
- May 5, 2023
- 479
- 1,253
Nikiwa shabiki kindakindaki wa Simba, kwa mpira wa Yanga waliocheza Jana na Belouzedad na nikiangalia Simba wanavyocheza nadiriki kusema kuwa tano zingine zinatuhusu
Simba na Belouzedad hamna tofauti hawana kasi wanapokuwa na mpira
Natangaza kutoenda uwanjani wala mabadani, nitaisikilizia redio nikiwa chumbani
Simba na Belouzedad hamna tofauti hawana kasi wanapokuwa na mpira
Natangaza kutoenda uwanjani wala mabadani, nitaisikilizia redio nikiwa chumbani