KWA WENYEJI WA SIMIYU

KWA WENYEJI WA SIMIYU

usijalisana

Member
Joined
Jan 31, 2019
Posts
26
Reaction score
9
Habari zenu wana jamiiforum, nimepangiwa shule ya sekondari Budalabujiga, iko H/shauri ya wilaya ya Itilima mkoani Simiyu, anaeifahamu pleaae naomba anijulishe kuhusu usafiri kutokea Dar, mazingira ya shule, je kuna nyumba za kuishi shule? Na kadhalika
 
Mkuu dsm kama ulkua private nilete barua
Habari zenu wana jamiiforum, nimepangiwa shule ya sekondari Budalabujiga, iko H/shauri ya wilaya ya Itilima mkoani Simiyu, anaeifahamu pleaae naomba anijulishe kuhusu usafiri kutokea Dar, mazingira ya shule, je kuna nyumba za kuishi shule? Na kadhalika
 
jiandae kwenda kununua solar tu mkuu.
afu kaishi vzur na wasukuma wakupenda sana na kinyume chake ni sahihi
 
Hongera mkuu.Jua kwamba umebahatika hivyo yakupasa ukapige kazi kweli kweli na sio kujikita katika mambo ambayo yako tofauti na mkataba wako.Wengi walitamani kupata hiyo nafasi ilo kutokana na ufinyu wa nafasi wameikosa kwa sasa
 
Simiyu ni mkoa wa wachapakazi..hasa itilima kuna wakulima na wafugaji jamii yao ni wasukuma(wanyantuzu) inshinao kwa upendo ukikaribishwa chakula usikatae hata kama umeshiba piga hata tonge mbili utaonyesha heshima na kujali...

Usilete nyodo za dsm wakikutoa moyoni utapata tabu sana kuishi nao..

Jihisishe sana na shughuli za kijamii hasa Misiba.

Kama hujaona jiandae kujipatia watoto wazuri weupe warefu wenye ujazo wakutosha.

Kumbuka kwenda kufanya kile ambacho serikali imekupeleka kufanya.

#karibu sana Simiyu.
 
Habari zenu wana jamiiforum, nimepangiwa shule ya sekondari Budalabujiga, iko H/shauri ya wilaya ya Itilima mkoani Simiyu, anaeifahamu pleaae naomba anijulishe kuhusu usafiri kutokea Dar, mazingira ya shule, je kuna nyumba za kuishi shule? Na kadhalika
[/QUOTE]
nyumba zipo mkuu ila za kubanana kuna headmaster alikuwepo hapa anaitwa Angelo we hutamkuta amehamishwa alikuwa mnoko huyo we acha tu. njoo utatukuta mzee.
 
Okey? Wewe unafundisha hapo siyo?
Habari zenu wana jamiiforum, nimepangiwa shule ya sekondari Budalabujiga, iko H/shauri ya wilaya ya Itilima mkoani Simiyu, anaeifahamu pleaae naomba anijulishe kuhusu usafiri kutokea Dar, mazingira ya shule, je kuna nyumba za kuishi shule? Na kadhalika
nyumba zipo mkuu ila za kubanana kuna headmaster alikuwepo hapa anaitwa Angelo we hutamkuta amehamishwa alikuwa mnoko huyo we acha tu. njoo utatukuta mzee.[/QUOTE]
 
Habari zenu wana jamiiforum, nimepangiwa shule ya sekondari Budalabujiga, iko H/shauri ya wilaya ya Itilima mkoani Simiyu, anaeifahamu pleaae naomba anijulishe kuhusu usafiri kutokea Dar, mazingira ya shule, je kuna nyumba za kuishi shule? Na kadhalika
Kutoka ubongo panda gari za kwenda simiyu hizo zinaishia bariadi mjini na utafika usiku kama sikosei. Ukiwapo bariadi mjini asubuhi au muda wowote fika stand ya zamani iliyopo mjini kati. Uliza gari za kwenda itilima / lagangabilili. Ushauri panda gari ndogo maarufu kama michomoko. Mwambie dereva akushushe budalabujiga sek . atakushusha kilopo kibao cha hiyo shule. Shule iko barabani just off load.
 
Okey sawa shukran, nauli je ni bei gani kutoka Dar had shuleni
Kutoka ubongo panda gari za kwenda simiyu hizo zinaishia bariadi mjini na utafika usiku kama sikosei. Ukiwapo bariadi mjini asubuhi au muda wowote fika stand ya zamani iliyopo mjini kati. Uliza gari za kwenda itilima / lagangabilili. Ushauri panda gari ndogo maarufu kama michomoko. Mwambie dereva akushushe budalabujiga sek . atakushusha kilopo kibao cha hiyo shule. Shule iko barabani just off load.
 
Nauli Dar (Bariadi)Simiyu ni sh elf 45.. Bus zuri na la uhakika ni Ally's tu..
NB. Usipande Simiyu Express wala Najmunisa utalala njiani ukishuka utaashuka na kunguni kama wote.
Karibu kwa Mh. A. Mtaka
Okey sawa shukran, nauli je ni bei gani kutoka Dar had shuleni
 
Ok shukran sana mkuu
Nauli Dar (Bariadi)Simiyu ni sh elf 45.. Bus zuri na la uhakika ni Ally's tu..
NB. Usipande Simiyu Express wala Najmunisa utalala njiani ukishuka utaashuka na kunguni kama wote.
Karibu kwa Mh. A. Mtaka
 
Nauli Dar (Bariadi)Simiyu ni sh elf 45.. Bus zuri na la uhakika ni Ally's tu..
NB. Usipande Simiyu Express wala Najmunisa utalala njiani ukishuka utaashuka na kunguni kama wote.
Karibu kwa Mh. A. Mtaka
Kwa nini asipande ya mwanza alale mwanza kesho yake ndio apande ya huko ili afanye uchaguzi mzuri wa basi ile safari ni ndefu sana
 
Vipi kuhusu nyumba za kuishi waalimu shuleni, zinapatikana au ni kupanga mtaani?
Nashauri panda dar lux usafiri kwa raha ulale mwanza kesho uamkie bariadi wilayani uripoti ndio uende shule kwako
 
SHULE YA SEKONDARI MAURICE inawatangazia wazazi na walezi wote kwamba tunapokea wanafunzi kidato cha kwanza mwaka 2019, nafasi za kuamia kidato cha kwanza na cha pili pia tuna kituo cha mitihani kwa watahiniwa wa kujitegemea na Q.T. Vile vile pia tunapokea wanafunzi wa kidato cha tano kwa michepuo ya ECA, HGE, HGK, HKL na HGL. ADA ni nafuu sana. Shule ni ya kutwa na bweni kwa wavulana na wasichana. Shule ipo Dar es salaam wilaya ya temeke, eneo LA mbande kisewe. Simu 0785907371. Wote munakaribishwa.
 
Nauri ya bariadi mjini hadi shule ilipo ni buku tatu, nisikukatishe tamaa sana but hongera kwa kupata hiyo nafasi, ila jiandae kisaikolojia make shule iko kijijini sana kwa wasukuma
 
H
Nauli Dar (Bariadi)Simiyu ni sh elf 45.. Bus zuri na la uhakika ni Ally's tu..
NB. Usipande Simiyu Express wala Najmunisa utalala njiani ukishuka utaashuka na kunguni kama wote.
Karibu kwa Mh. A. Mtaka
Hivi nauli Dar mpaka Maswa ni hiyo hiyo 45?
Na hiyo Ally's inafika saa ngapi?
 
Back
Top Bottom