Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,915
- 30,027
1. Kitambi Mvurugo --
hiki kitambi kimekaa
kama O.
Kinapatikana kwa kula sana kitimoto.
2. Kitambi Mchuchumio --
Hiki kitambi kimekaa
kama
herufi D. Kinatokana na kula sana michemsho na
bia
za ofa.
3. Kitambi Mbonyeo --
Akivua shati kitovu
hakionekani. Hiki wanacho wala rushwa. Ila
akisimamishwa kazi kinaisha.
4. Kitambi Mtepeto --
Ni kitambi cha wastani
ambacho ukivaa nguo pana hakionekani.
kinasababishwa na kula mno
viporo.
5. Kitambi Mfumanio:
hiki mtu anakuwa hana
pesa ila
kitambi ni kutokana na minyoo na utapiamlo wa
ukubwani.
6. Kitambi Mtunguo:
Hiki wanacho sana wadada.
Kina
umbo la yai. Hiki kwa 'diet' hakitoki labda Kwa
Maombi tu.[h=5][/h]
hiki kitambi kimekaa
kama O.
Kinapatikana kwa kula sana kitimoto.
2. Kitambi Mchuchumio --
Hiki kitambi kimekaa
kama
herufi D. Kinatokana na kula sana michemsho na
bia
za ofa.
3. Kitambi Mbonyeo --
Akivua shati kitovu
hakionekani. Hiki wanacho wala rushwa. Ila
akisimamishwa kazi kinaisha.
4. Kitambi Mtepeto --
Ni kitambi cha wastani
ambacho ukivaa nguo pana hakionekani.
kinasababishwa na kula mno
viporo.
5. Kitambi Mfumanio:
hiki mtu anakuwa hana
pesa ila
kitambi ni kutokana na minyoo na utapiamlo wa
ukubwani.
6. Kitambi Mtunguo:
Hiki wanacho sana wadada.
Kina
umbo la yai. Hiki kwa 'diet' hakitoki labda Kwa
Maombi tu.[h=5][/h]