Kitambi chako ni kipi kati ya hivi?

Kitambi chako ni kipi kati ya hivi?

upendodaima

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2013
Posts
4,086
Reaction score
4,526
1. Kitambi Mvurugo -- Hiki kitambi kimekaa kama O. Kinapatikana kwa kula sana kitimoto.

2. Kitambi Mchuchumio -- Hiki kitambi kimekaa kama herufi D. Kinatokana na kula sana michemsho na bia za ofa.

3. Kitambi Mbonyeo -- Akivua shati kitovu hakionekani. Hiki wanacho wala rushwa. Ila
akisimamishwa kazi kinaisha.

4. Kitambi Mtepeto -- Ni kitambi cha wastani ambacho ukivaa nguo pana hakionekani. kinasababishwa na kula mno
viporo.

5. Kitambi Mfumanio -- Hiki mtu anakuwa hana pesa ila kitambi ni kutokana na minyoo na utapiamlo wa ukubwani.

6. Kitambi Mtunguo -- Hiki wanacho sana wadada. Kina umbo la yai. Hiki kwa 'diet' hakitoki labda Kwa Maombi tu.
 
1. Kitambi Mvurugo -- Hiki kitambi kimekaa kama O. Kinapatikana kwa kula sana kitimoto.

2. Kitambi Mchuchumio -- Hiki kitambi kimekaa kama herufi D. Kinatokana na kula sana michemsho na bia za ofa.

3. Kitambi Mbonyeo -- Akivua shati kitovu hakionekani. Hiki wanacho wala rushwa. Ila
akisimamishwa kazi kinaisha.

4. Kitambi Mtepeto -- Ni kitambi cha wastani ambacho ukivaa nguo pana hakionekani. kinasababishwa na kula mno
viporo.

5. Kitambi Mfumanio -- Hiki mtu anakuwa hana pesa ila kitambi ni kutokana na minyoo na utapiamlo wa ukubwani.

6. Kitambi Mtunguo -- Hiki wanacho sana wadada. Kina umbo la yai. Hiki kwa 'diet' hakitoki labda Kwa Maombi tu.

dah umeniua sana ndugu yangu hasa hiyo ya 5
 
Hyo ya mwisho ni balaa..,
Umetumia utafiti gan paka kusema hvo au umekurupuka tu kutoka ucngzni
 
asa haya ndo mambo yenyewe bhanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa......................................
 
Hahahaaaaa Nitakuja changu ukipe jina kwakuwa kina matoleo kwenye mbavu yaani kimetokedhea mbavuni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom