Kwa wenye ufahamu juu ya pikipiki

Kwa wenye ufahamu juu ya pikipiki

Daddo

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2013
Posts
1,435
Reaction score
1,025
Habari wana jukwaa.
Ninahitaji la kununua pikipiki tatizo sijui lolote juu ya hizo pikipiki zaidi ya kuendesha tu. Kama kuna mtu mwenye uelewa anisaidie ushauri kuhusu uimara, vifaa, maduka yanayouza na kama inawezekana na bei.
Note> Ni kwa matumizi yangu binafsi na mara nyingi ni kwenye roughroad. Naihiji hasa kwa matumizi nikiwa likizo kijijini kwangu. Natanguliza shukrani wakuu.
 
kabla ya kununua hio pikipiki pita kwanza muhimbili kibasila,then make decision ya kununua hio pikipiki
 
Bajet yako ikoje. Uko mkoa gani

Bajet sitaki izidi M4 ila cha msingi ni uimara na spea ziwe rahisi kupatikana niko dar kikazi ila matumizi siyo ya hapa.
 
m4 ongeza m1 tafuta kasuzuki kaka kwenye barabra mbaya kanaenda sio kama stalet miguu haina spare bwana
 
m4 ongeza m1 tafuta kasuzuki kaka kwenye barabra mbaya kanaenda sio kama stalet miguu haina spare bwana

Wala sina tatizo na usafiri hapa mjini bali nahitaji hiyo kitu kwa ajili ya matumizi nikiwa likizo tu na kumbuka vijijini kwetu barabara zinaunganisha kijiji na kijiji so inakuwa ngumu kutumia gari. Pikipiki naona inafaa tu hata kwenye njia za miguu.
 
Najua kuna pikipiki za biashara na zile za matumizi binafsi
ingia madukani ufanye window shopping.
 
Habari wana jukwaa.
Ninahitaji la kununua pikipiki tatizo sijui lolote juu ya hizo pikipiki zaidi ya kuendesha tu. Kama kuna mtu mwenye uelewa anisaidie ushauri kuhusu uimara, vifaa, maduka yanayouza na kama inawezekana na bei.
Note> Ni kwa matumizi yangu binafsi na mara nyingi ni kwenye roughroad. Naihiji hasa kwa matumizi nikiwa likizo kijijini kwangu. Natanguliza shukrani wakuu.[/Q

tafuta piki piki aina ya HONDA MD30 au d-trackek kawasaki https://www.jamiiforums.com/matangazo-madogo/395562-piki-piki-kawasaki-d-tracker-250cc-sokoni.html you will fall in love with it.
 
kabla ya kununua hio pikipiki pita kwanza muhimbili kibasila,then make decision ya kununua hio pikipiki
ukisema hivyo watu watashindwa hata kununua magari coz unaweka familia yote katika risk ya kufa kwa pamoja, hasa mnapokuwa kwenye family outing etc, mifano ipo familia nzima imeteketea kutokana na ajali za gar za familia.
 
Mkuu nunua tu TOYO 150CC itakufaa sana bei ni 1.5
 
Ongezea kidogo, au hata hiyo 4m mbona unapata yamaha dt 125. Hiyo ukinunua ni mkataba aisee. Mi ninayo ya ofisin aisee service kubwa ni kwa mwaka Mara 1 ninavoenda kulipia bima. Kubwa ni Blake pad ambazo ni elf5, engine oil elf 4 na two stroke
 
Habari wana jukwaa.
Ninahitaji la kununua pikipiki tatizo sijui lolote juu ya hizo pikipiki zaidi ya kuendesha tu. Kama kuna mtu mwenye uelewa anisaidie ushauri kuhusu uimara, vifaa, maduka yanayouza na kama inawezekana na bei.
Note> Ni kwa matumizi yangu binafsi na mara nyingi ni kwenye roughroad. Naihiji hasa kwa matumizi nikiwa likizo kijijini kwangu. Natanguliza shukrani wakuu.


check hii hapa kama utaipenda https://www.jamiiforums.com/matangazo-madogo/404478-huasha-motocycle-150cc-for-sale.html
 
Back
Top Bottom