nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 6,244
- 7,723
Nipo mbeya vijijini kwa sasa ni msimu wa kuvuna maharage. Kuanzia mwezi wa nne, tunaanza kuvuna zao la kahawa.
Nimeona kuna watu wengi wanaojihusisha na ununuaji wa kahawa mbichi (cherry) na kavu.
Nimekuja kwenu baada ya kufanya utafiti wa biashara hii. Hii biahsara ina faida kwa wenye mitaji ambao watanunua kahawa mbichi na kuisaga kisha kuianika.
Sasa basi, mimi nimekuja hapa kutangaza fursa kwa wenye mitaji ili tufanye biashara hii. Eneo la kufanyia huo uwekezaji lipo kwa kuanzia msimu huu wakati tunajipanga kwa misimu ijayo.
Kama una mtaji na unaona inafaa, tunaweza kuwasiliana na mimi nitasimama kama wakala kwa eneo hili na tutakamilisha taratibu zote za kisheria ili tuweze kufanya kazi hii.
Karibuni sana. Kwa mawasiliano ya simu, sms au whatsap 0752343579
Nimeona kuna watu wengi wanaojihusisha na ununuaji wa kahawa mbichi (cherry) na kavu.
Nimekuja kwenu baada ya kufanya utafiti wa biashara hii. Hii biahsara ina faida kwa wenye mitaji ambao watanunua kahawa mbichi na kuisaga kisha kuianika.
Sasa basi, mimi nimekuja hapa kutangaza fursa kwa wenye mitaji ili tufanye biashara hii. Eneo la kufanyia huo uwekezaji lipo kwa kuanzia msimu huu wakati tunajipanga kwa misimu ijayo.
Kama una mtaji na unaona inafaa, tunaweza kuwasiliana na mimi nitasimama kama wakala kwa eneo hili na tutakamilisha taratibu zote za kisheria ili tuweze kufanya kazi hii.
Karibuni sana. Kwa mawasiliano ya simu, sms au whatsap 0752343579