Kwa wenye magari pata amani moyoni

Kwa wenye magari pata amani moyoni

Hicho kifaa kinawekwa wapi? Maana wezi wa siku hz wanaiba ki@digitali akishaiba anaenda kudisable device yeyote ambayo itamtrack thru Gps.
unaweza weka chini ya seat, kwenye arm rest, au kwenye boot kwa ufupi ni mahali popote unapoweza kukificha, kikubwa iwe ni siri yako
Access ya location na data zote zinazo reveal mahali ilipo gari ni exclusive kama hauna user name na password ya kifaa hiki huwezi kupata access
 
...dogo Digitali ushaleta mzigo ??,we noma sana, pamoja mwana naungaunga ninunue gari nifunge hicho kidubwasha...

Mwanangu mdogo mdogo tu, ukishapata mchuma mwana nitembelee tu mkuu. Pamoja.......
 
More illustrations
 

Attachments

  • close Capture.JPG
    close Capture.JPG
    33.6 KB · Views: 67
mkubwa samahan kwa kuingilia kati ila nataman ningejua thaman yako na running cost ikoje kama unaweka betri tu au kuna kingne na once nkishanunua kwenu hamna kingne kama kulipia kila mwez
 
mkubwa samahan kwa kuingilia kati ila nataman ningejua thaman yako na running cost ikoje kama unaweka betri tu au kuna kingne na once nkishanunua kwenu hamna kingne kama kulipia kila mwez

No further monthly charges, the only gharama utakuwa unalipia baada ya kufungiwa ni matumizi yako, kifaa kinatumia line ya simu na kupitia GSM and GPRS ndio kinaweza kukupatia hizo data za location na nk... kwa hiyo inatakiwa recharge tu ya pesa kidogo kwenye line ya simu kwa mwezi haizidi elfu 10 kama unatumia bila bundle with bundle inaweza kuwa chini ya hapo
Once you get it access and where about of the car is exclusively personal na hatuna any aother involvement kwa maana you have to log in with your personal username and password kila unapoingia kwenye platform
 
Mali mpya zimeingia
Tafadhali tuwasiliane
 
hizi zinaitwa car track systems jamani mbona long sana mjini hapa.mleta mada waeleze watu vizuri na usiseme kifaa tu haijitoshelezi,hizi car track zinatumiwa sana na makampuni sisistuna tenda yakuzifunga kwenye magari kule bandarini,hasa haya ya mafuta na ya mizigo .au magari ya biashara unajia leo huyu mtu kapeleka wapi gari langu alifanya safari ngapi wapi hadi wapi unapata report yote so akija kukuambia leo sijafanya biashara unajua tu.
 
hizi zinaitwa car track systems jamani mbona long sana mjini hapa.mleta mada waeleze watu vizuri na usiseme kifaa tu haijitoshelezi,hizi car track zinatumiwa sana na makampuni sisistuna tenda yakuzifunga kwenye magari kule bandarini,hasa haya ya mafuta na ya mizigo .au magari ya biashara unajia leo huyu mtu kapeleka wapi gari langu alifanya safari ngapi wapi hadi wapi unapata report yote so akija kukuambia leo sijafanya biashara unajua tu.

So what?
Kuzijua wewe ndio pass ya watu wote kuzijua, Mimi sijakuelewa hata unachotaka kusema! Yaani unataka aache kuziita device vifaa aviite track sio? Si uanzishe thread yako uziite track!
Mitanzania bwana u much know mwing eti huwa tunaviuza u dont look like you know what you are saying
 
Capture.JPG

Look how precise, I just packed my car the exact location as it shows
 
Back
Top Bottom