Mkuu, hii inaweza ikawa habari njema kwa wenye magari. Lakini je engine ya gari ikizimwa bado kifaa hicho kitakuonyesha gari lilipo?
Tiba
Kifaa hiki kwa bahati nzuri hakiendeshwi kwa kutumia engine ya gari! Kifaa hiki kina battery yake ambayo ikiwa charged 100% kinaweza kukaa na charge mda wa siku 7. Pia kinakuja na adaptor ambayo ikifungwa kwenye mfumo wa umeme wa gari au moja kwa moja kwenye battery mda wote kitakuwa na charge
Mkuu asante kwa maelezo ya ziada. Sasa kwa kifupi twambie hicho kifaa kinafanyaje kazi. Nia ya swali langu la awali ilikuwa ni kutaka kujua kama mtu anaiba gari langu halafu anapiga kona mbili tatu na kulipaki hilo gari na kuanza kulidismantle, je kifaa hicho bado kitaonyesha kwamba gari lipo wapi? Assume tayari limesambaratishwa tayari kila part iko kivyake, bado hicho kifaa kitaonyesha kwamba gari liko wapi? Je kuna device inayofungwa kwenye gari na kufanya connection na simu yangu? Sasa ikitokea mtu akaiba gari halafu akadisconnet hicho kifaa inakuwaje hapo?
I am just being curious.
Tiba
...kama sikosei amesema ukiwa kwenye location yenye signal mbaya kinaleta signal on the spot lakini inakuwa mbaya na baada ya 60 sec inajiupdate...Wasiwasi wangu ni kua kama inatumia google map au google earth updates za location hua inachukua muda mrefu kuupdate. Mfano umepaki jengo jipya yenyewe inaweza sema upo nje yaani kama zamani hakukua na jengo hapo itaonesha kweupe. Pia sio maeneo yote yamekua located kuna maeneo maping haipo
Mkuu asante kwa maelezo ya ziada. Sasa kwa kifupi twambie hicho kifaa kinafanyaje kazi. Nia ya swali langu la awali ilikuwa ni kutaka kujua kama mtu anaiba gari langu halafu anapiga kona mbili tatu na kulipaki hilo gari na kuanza kulidismantle, je kifaa hicho bado kitaonyesha kwamba gari lipo wapi? Assume tayari limesambaratishwa tayari kila part iko kivyake, bado hicho kifaa kitaonyesha kwamba gari liko wapi? Je kuna device inayofungwa kwenye gari na kufanya connection na simu yangu? Sasa ikitokea mtu akaiba gari halafu akadisconnet hicho kifaa inakuwaje hapo?
I am just being curious.
Tiba
Wasiwasi wangu ni kua kama inatumia google map au google earth updates za location hua inachukua muda mrefu kuupdate. Mfano umepaki jengo jipya yenyewe inaweza sema upo nje yaani kama zamani hakukua na jengo hapo itaonesha kweupe. Pia sio maeneo yote yamekua located kuna maeneo maping haipo