joel amani
Senior Member
- Nov 22, 2011
- 100
- 8
jf natumaini ni wazima,naomba ushauri kwa wale wazoefu wa biashara za kuzunguka minadani kupeleleka bidhaa mbalimbali,je ni bidhaa gani hasa hutoka huko vijijini minadani? je nianze na mtaji kiasi gani? naombeni msaada wa mawazo sio kuniponda jf,ahsante