Mimi upande wangu simu nikiona imenyooka naibeba na nashukuru mungu tangu naanza kununua simu used hizi za dukani hakuna simu hata iliowahi kunisumbua saivi nina iphone xr nimenunua mpya juzi hai overheat chaji nikichaji asibui hadi usiku
Sio zote zina tatizo hilo! Zinazozima hovyo ni zile refurbished kienyeji hata Samsung, Sony, Huawei, Xiaomi na iPhone ukipata refurb ambayo haikufanyiwa matengenezo kwa uhakika lazima ije kusumbua raia...