Kwa watumiaji wa FB

Tunataka viongozi tunaowachagua sisi WANANCHI wa TANZANIA na sio vinginevyo,tunaongozwaje na watu Wana ubongo wa Nguruwe.hapa ni NO REFORMS NO ELECTION zaidi ya hapo ni uongo
 
Mbona viongozi wetu wahasisi wa No Reform No Election wanapotutangazia tukutane Boma, hatukutani!!!?
 
NO REFORMS NO ELECTION

Wadada mtu akikutongoza kama hajasema hayo maneno mkatae, mume wako akikuomba 🍎 asipoanza na hayo maneno mnyime. Salamu iwe hiyo ✌️

#NO REFORMS NO ELECTION.
 
Unaishi dunia gani wewe ambaye hujui nguvu ya mitandao!
NAJUA sana ila, kuwa na nguvu ya mitandao pekee, harafu baadae kwenye vitendo mnafyata mikia haina maana nb Tanzania hakujawahi Kuwa na nguvu ya mitandao kama unafikiri ipo subiri utaona watakapo ishia, Tanzania hua Kuna nguvu ya mitandao kwa mambo ya kijingav siyo mhimu.
Unaishi dunia gani wewe ambaye hujui nguvu ya mitandao!
 
No Reforms no Election
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…