Kwa watu wa Sensa...!

Serikali ilikuwa inategemea pesa kutoka UN zimekwama...sasa kuna bahadhi ya maeneo kama sio yote watakopesha nguvu zao,hela nyingine zitachelewa sana..kwa iyo kama umepata Advance itumie vizuri sana kwa uangalifu..hii ni kwa wote dodoso refu na fupi.
 
Serikali ilikuwa inategemea pesa kutoka UN zimekwama...sasa kuna bahadhi ya maeneo kama sio yote watakopesha nguvu zao,hela nyingine zitachelewa sana..kwa iyo kama umepata Advance itumie vizuri sana kwa uangalifu..hii ni kwa wote dodoso refu na fupi.

ni taarifa za kweli mkuu? mbona watupa presha sie?
 
ni taarifa za kweli mkuu? mbona watupa presha sie?

sina sababu ya kuwapa presha...wafadhili hawajatoa kama walivyohaidi na UN ndio pekee aliyebaki nae haeleweki kabisa...kifupi govt ndio inasimamia mpango mzima na imeelemewa kweli kweli..ombeni Mungu tu ila inaweza kula kwenu.
 
Ha ha ha ha, Tanzania ina vituko amchelewi kuambiwa asanteni sana kwa uzalendo vijana, kuhusu malipo subirini cheque itoke ndo imetoka hiyo

Au wanawaambia malipo yenu tunayapeleka moja kwa moja bodi ya mikopo kupunguza deni mlilokopa chuo.
 
Tunaendealea na semina ya sensa,lkn hali ngumu kwelikweli,hatujalipwa senti moja,mpaka wengine tunakosa nauli,hata ela ya kula hakuna hata nauli hakuna kila kitu wenyewe,hata peni hakuna,hii ni balaa sijui maandalizi gani haya.
 
Sisi tangu tuanze semina ya sensa huku sekondari ya kibamba,hatujapewa hata senti moja,hata peni tunanunuwa wenyewe,hali mbaya kweli kwa makalani hawa vijana wanalalamika kweli hata senti hatujapewa.
 
Nilipita Mzumbe pale, dada Gift anakusalimia!
Ha ha ha ha, Tanzania ina vituko amchelewi kuambiwa asanteni sana kwa uzalendo vijana, kuhusu malipo subirini cheque itoke ndo imetoka hiyo

Au wanawaambia malipo yenu tunayapeleka moja kwa moja bodi ya mikopo kupunguza deni mlilokopa chuo.
 
Nilipita Mzumbe pale, dada Gift anakusalimia!

We mtoto unamjua dada gifti, enz zangu nilikuwa napata msos kwa bili kwake.. Halafu nashushia na na maji ya mende kwa baunsa then naenda zangu butiama aka maria nyerere kuopoa warembo..
 
Back
Top Bottom