Kwa Watanzania mnaoendelea kughiribiwa na Lowassa

Kwa Watanzania mnaoendelea kughiribiwa na Lowassa

Mleta mada hautakiwi kumtupia maneno Lowassa kuna maswali mawili unayotakiwa ujiulize alafu utafute majibu kimya kimya
Kwanza Lowassa ndani ya Ccm alikua na cheo gani...??
Pili kwenye bunge la jamhuri ya muungano alikua na cheo gani...??
Ukishapata majibu kua kimya
Ila swali la mwisho kujiuliza kwanini anakwambia uwamke asubuhi tarehe 25.10 ukampigie kura maswala ya NEC muachie yeye...??
Tafakari kwanini...
 
Mkuu mimi nimetoka Njombe hadi Mbeya jana kwa gari yangu na mafuta yangu, akina nani na wapi waligawiwa hayo mafuta au hela? Na wengine walikodi mabasi kwa michango yao je hao walioletwa ni akina nani?
 
Watanganyika washazoea kughiribiwa ......wameghiribiwa na ccm miaka 55...acha tu waendele kughiribiwa ...huu wema wa kujifanya unawaonea huruma kwa kughiribiwa unatoka wapi...uzuri wa huko alipo hizo porojo za kusafirisha hazifanyi kazi sana ..maana wapenzi wa ukawa wapo kabla mamvi hajaenda ukawa...LEMA SUGU MSIGWA WENJE walikuwa wanapiga mikutano na watu wanajaaa..........kwa ufupi acha ghiliba ziendeleeeeee...............
 
Moja kati ya technique kubwa ya EL ni kununua watu kwa makundi pamoja na media ambazo zitasaidia kupeleka ujumbe tena uliowekwa chumvi kwa wananchi kwamba yeye ni kipenzi cha Watz.

Tulianza kushuhudia hili tangu alipokua bado ana sare za kijani, makundi yaliyoghiribiwa yanafika kwa EL pasipo taarifa lakini cha kushangaza utakuta media tayari zipo eneo la tukio kabla hata haya makundi kufika zikiwa tayari zimejipanga kurusha matangazo. Tunaongopewa eti vijana wa bodaboda wemetoka Simiyu wakiendesha pikipiki kuja nyumbani kwa EL Dodoma kumuomba awanie urais, hii ni ishara kwamba hiki ni kiini macho.

Sote ni mashahidi, mkutano wa kwanza wa arusha EL alisafirisha watu kutoka kila kona ya TZ kwa gharama kubwa, mfano wapo waliokatiwa tiketi za ndege ili tu kutengeneza kiini macho kwamba yeye ni kipenzi cha watu.

Nina rafiki yangu yeye kwa mara ya kwanza kupanda ndege ilikua ni mkutano wa Arusha kwa hisani ya Mmasai. Asilimia kubwa ya mabasi yalikodiwa na EL kuelekea Arusha ili kutengeneza umati kutengeneza hiki kiini macho.

Leo tunashuhudia usafiri wowote ukikubali kuwa kwenye maandamano ya mapokezi yake mafuta ni bure, hii iwe ni bodaboda au magari.

Kweli pesa zilizopatika pasipo jasho lolote hutumika hovyo, leo tunafurahi ila hizi ni pesa zetu wenyewe zinatumika kutuzubaisha.

Kweli wanaomshabika EL aidha hufuata mkumbo au kutafuna hizi pesa zake ila swali la kwanza la kujiuliza ni wapi hizi pesa zimepatikana?




Hizo ngonjera wengi wamezichoka lililoke mbele yetu ni 2015.10.25 hivi hizo pesa anazogawa EDO je serikali imebakI na hela KWELI maana tunaambiwa deni la taifa kila mtanzania aliyeko hai anadaiwa 600,000/ + je TRA wanapata kodi stahiki kwenye mgao huo sidhani kama kuna mwananchi ataelewa hizo mbwembwe za kuwa watu wanagawiwa pesa jamani kumben Ndiomaana babu wa loliondo alikumbwa na mafuriko ya wanya kikombe Tunataka MAGEUZI ilitupate fursa ya kufanya MABADILIKO chama cha zamani hakiwezi kazi hiyo EDO kama alivyo ANATOSHA
 
Moja kati ya technique kubwa ya EL ni kununua watu kwa makundi pamoja na media ambazo zitasaidia kupeleka ujumbe tena uliowekwa chumvi kwa wananchi kwamba yeye ni kipenzi cha Watz.

Tulianza kushuhudia hili tangu alipokua bado ana sare za kijani, makundi yaliyoghiribiwa yanafika kwa EL pasipo taarifa lakini cha kushangaza utakuta media tayari zipo eneo la tukio kabla hata haya makundi kufika zikiwa tayari zimejipanga kurusha matangazo. Tunaongopewa eti vijana wa bodaboda wemetoka Simiyu wakiendesha pikipiki kuja nyumbani kwa EL Dodoma kumuomba awanie urais, hii ni ishara kwamba hiki ni kiini macho.

Sote ni mashahidi, mkutano wa kwanza wa arusha EL alisafirisha watu kutoka kila kona ya TZ kwa gharama kubwa, mfano wapo waliokatiwa tiketi za ndege ili tu kutengeneza kiini macho kwamba yeye ni kipenzi cha watu.

Nina rafiki yangu yeye kwa mara ya kwanza kupanda ndege ilikua ni mkutano wa Arusha kwa hisani ya Mmasai. Asilimia kubwa ya mabasi yalikodiwa na EL kuelekea Arusha ili kutengeneza umati kutengeneza hiki kiini macho.

Leo tunashuhudia usafiri wowote ukikubali kuwa kwenye maandamano ya mapokezi yake mafuta ni bure, hii iwe ni bodaboda au magari.

Kweli pesa zilizopatika pasipo jasho lolote hutumika hovyo, leo tunafurahi ila hizi ni pesa zetu wenyewe zinatumika kutuzubaisha.

Kweli wanaomshabika EL aidha hufuata mkumbo au kutafuna hizi pesa zake ila swali la kwanza la kujiuliza ni wapi hizi pesa zimepatikana?

Watu wengine kama wachawi, eti unatuonea Huruma. Kafie mbele😡😡😡
 
kama hukuwahi sikia kufilisika kimawazo basi ndio huku,
"Ni heshima kubwa kwa MUNGU kumzomea fisadi EL".
Leo yamebadilika na bla bla kibao,
tatizo ni mfumo mara tatizo ni kuiondoa CCM madarakani kwa njia yoyote.
Tusubiri October sio mbali tutaona nakutambua akili za wa tz vizur

Nini unalia lia?
 
Kishaelaza mara nyingi, pesa inatoka kwa rafiki zake wenye huruma sana kwa Mtanzania.

wenye huruma na watanzani au wenye huruma na lowasa?? km wana huruma na watanzania kwa nini wasipewe watanzania wenyewe??
 
Back
Top Bottom