Hivi kwann baadhi ya watangazaji wa radio hupenda kutumia neno 'baby' ktk vipindi vyao?
Mfano mzuri ni kwa watangazaji wa kipindi cha XXL cha cloudsfm. Hasa Adamu mchomvu na B dozen. Utasikia wanasema ''endelea ku'tune in' the people's station XXL cloudsfm 'baby' enjoy".
Nauliza, hivi huyu baby ni nani?
Mfano mzuri ni kwa watangazaji wa kipindi cha XXL cha cloudsfm. Hasa Adamu mchomvu na B dozen. Utasikia wanasema ''endelea ku'tune in' the people's station XXL cloudsfm 'baby' enjoy".
Nauliza, hivi huyu baby ni nani?