Visitatanzania
Member
- Jul 25, 2012
- 29
- 2
Habari zenu wakuu,
Nina mambo mawili hapa:
1. Nina mjomba wangu mmoja hapa dar ana guest house yake ina rooms kama 20 hivi na anataka kufunga simu kila chumba zile zisizo hela (vocha) ili kuwasiliana ni kama radiocall vile sijuwi, sasa anahitaji kujuwa wapi atawapata watu wanao husika na kazi hizi kwa dar na gharama zitakuwa kiasi gani.
2. Pia katika kila chumba tayari kuna tv lakini anahitaji kila tv iwe inaonesha channel nyingi kama zile za startimes au dstv, swali hapa ni kwamba anaweza akatumia decoder moja kwa tv zote za vyumbani au anahitaji kufunga kila chumba decoder yake kiasi kwamba kila mgeni awe ana uwezo wa kujibadilishia channel peke yake.
Natanguliza shukrani zangu na karibuni kwa mawazo yenu.
Nina mambo mawili hapa:
1. Nina mjomba wangu mmoja hapa dar ana guest house yake ina rooms kama 20 hivi na anataka kufunga simu kila chumba zile zisizo hela (vocha) ili kuwasiliana ni kama radiocall vile sijuwi, sasa anahitaji kujuwa wapi atawapata watu wanao husika na kazi hizi kwa dar na gharama zitakuwa kiasi gani.
2. Pia katika kila chumba tayari kuna tv lakini anahitaji kila tv iwe inaonesha channel nyingi kama zile za startimes au dstv, swali hapa ni kwamba anaweza akatumia decoder moja kwa tv zote za vyumbani au anahitaji kufunga kila chumba decoder yake kiasi kwamba kila mgeni awe ana uwezo wa kujibadilishia channel peke yake.
Natanguliza shukrani zangu na karibuni kwa mawazo yenu.