Bila shida mkuu. Mm nimetoa Rands South Africa kwa NmB master card. Hopefully CRDB wanaweza maana ni wakongweHabari wadau, Je naweza kwenda China na bank visa card ya Crdb na nikaweza kutoa pesa?
Asante mkuu.Bila shida mkuu. Mm nimetoa Rands South Africa kwa NmB master card. Hopefully CRDB wanaweza maana ni wakongwe
Pa1Asante mkuu.
Wakongwe wapi CRDB? Wanazingua tuuu, wanamakato ya kipuuuuzi tuuu.Bila shida mkuu. Mm nimetoa Rands South Africa kwa NmB master card. Hopefully CRDB wanaweza maana ni wakongwe
Wakongwe wapi CRDB? Wanazingua tuuu, wanamakato ya kipuuuuzi tuuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukweli mi sio mwanachama wa benk hiyo (CRDB). Lkn nafikiria kufungua account, hivyo naendelea kupata taarifa zao zaidi.hakuna benki isiyo na tozo, hapo tusijidanganye. tena benki nyingine tozo zao zipo juu sana.
mfano kuangalia salio nmb 2,300 na crdb 2,000
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila shida mkuu. Mm nimetoa Rands South Africa kwa NmB master card. Hopefully CRDB wanaweza maana ni wakongwe