SAMAHANI SANA: kwenye post niliacha namba moja.
Usahihi: zidisha 259 x umri wako x 39
.
Ahsante, kwa umri wangu imekubali formula hiyo, duh amazing
SAMAHANI SANA: kwenye post niliacha namba moja.
Usahihi: zidisha 259 x umri wako x 39
.
MRONGO WEWE
KAJIPANGE UPYA
HKL AFU UNAJITIA PCM?
pamadakupaku!!!!
Huyu bwana kakosea maelezo kidogo tu,ni kwamba jibu linalopatikana,kwa mfano 259*21=5439,then 5+4+3+9=21,sio kila namba inataja umri wako,ni lazima ujumlishe namba moja moja kati ya zile zinazounda jibu lako!