Kwa Wataalam wa hesabu

Kwa Wataalam wa hesabu

Hahahahahahahahahaa
Ni swali ambalo unaweza ukamuuliza mwanafunzi, wapi pana kosa! Ninaamini wewe unajuwa kosa lipo wapi. Kama unafahamu kuwa zero divide by zero can be certain number, depending to the nature of the numerator and denominator....kama ni zero gawanya kwa zero basi tunaweza kutumia L'Hospitals rule.
Kwanini nasema zero gawia zero? Ulipofika x-y/x-y; hi ni sawa na 0/0 maana x=y. Sasa ikiwa hiyo Never conclude kwamba ni 1.
Ninaamini nimeeleweka wapi palipo kufanya u-conclude kuwa jibu ni moja. Jiulize kwanini namba yoyote ukiigawa yenyewe kwa yenyewe jibu ni moja lakini 0 gawa kwa 0 si moja?
Mmmmh! wote mnao-support hayo majibu i don't think kama mnajua hesabu. huwezi kuandika x=y bila kusema sababu ya wewe ku-equate. kwa sisi wataalamu wa hesabu lazima useme let x=y, una assume ukimaanisha it is not true. kesho mtasema if men=women then man=woman, anyway huu ni uwanja wa jokes tuuu!
 
Mmmmh! wote mnao-support hayo majibu i don't think kama mnajua hesabu. huwezi kuandika x=y bila kusema sababu ya wewe ku-equate. kwa sisi wataalamu wa hesabu lazima useme let x=y, una assume ukimaanisha it is not true. kesho mtasema if men=women then man=woman, anyway huu ni uwanja wa jokes tuuu!


Mkuu hapo tumetumia lugha ya taifa "let" imetumika kama "kama". Soma vizuri ilivyoandikwa (kama x=y). Nna mashaka we si mathematicians.....hahahahahaha!
 
if x=y then at (x-y) is zero to both denominators that means 0/0 is an ambiguity so
your math is not realistic,maths doesnt work out like that men,you must be a non maths lover student i can guess!!
 
si kweli, hesabu huwa haziendi hivyo kama utakavyo wewe bali zina principal zake
kama x=y,
ukija hapa, 2x=2y, kwa nini umetumia mbili, vipi ikiwa tatu yaani 3x=3y
kwa hiyo 3x-x=3y-y
maana yake ni kuwa 3x-3y=x-y
hii ni sawa na kusema 3(x-y)=(x-y)
kwamba 3(x-y)/(x-y)=(x-y)/(x-y)
na hiyo inathibisha kuwa 3=1
HAYA WEWE UNAEJUA HESABU KANUSHA BAC

I saluuuute you!
Kamanda, kama mlikuwa kwenye Ngumi jamaa umempa Knock-out flat! Wewe nadhubuti kukuita 'A great Mathematician' nafikili na hakika umekula nondos za "Pure Maths" sio "BAM"
Hucingie kwenye chama chao hamna kitu.
 
Ngona nitoe mwongozo. tuna anza hapa;

kama x=y
2x-x = 2y - y
2x - 2y = x-y
2(x-y) = x - y
2(x-y)/(x-y) = (x-y)/(x-y) Kosa liko hapa, huwezi kugawanya kwa x-y wakati tayari umeshasema x=y au kwa maana nyingine x-y=0. number yoyote ikigawanywa sifuri (i.e z/0) is -infinity for all z less than zero, +infinity for all z greater than zero.

Therefore;
2 ≠ 1
 
Je unajua kuwa 2 = 1?

Wataalam wa hesabu tunasema kuwa kama x=y
basi 2x=2y
kwahiyo 2x-x = 2y-y si sawa?
Maana yake ni kuwa 2x-2y = x-y hapo hakuna ubishi naamini.
Hii ni sawa na kusema 2(x-y) = (x-y)
kwamba 2(x-y)/(x-y) = (x-y)/(x-y)
Na hiyo inathibitisha kuwa 2 = 1
Kwa wasiojua hesabu watabaki wanatoa mimacho, hawaelewi kitu halafu bahati mbaya watabisha!

Good Day Mathematicians!

Is logic synonymous to maths🙄? In logic world the characters (not the numbers!) named 2 and 1 can be equal😉.
 
Nafikiri Chrispin amesahau kuwa ukitaka ukweli wa "denominator equal to zero" basi unatakiwa utafute
lim (x-y)=?
(x-y)--->0
hapo mkuu utakuwa umekokotoa kiutu uzima.
Vinginevyo ..... hi hi hiiiiii! Maisha plus!
 
Nafikiri Chrispin amesahau kuwa ukitaka ukweli wa "denominator equal to zero" basi unatakiwa utafute
lim (x-y)=?
(x-y)--->0
hapo mkuu utakuwa umekokotoa kiutu uzima.
Vinginevyo ..... hi hi hiiiiii! Maisha plus!

Inaelekea mkuu na wewe hesabu hazikupigi chenga.... hahahahahah!
 
si kweli, hesabu huwa haziendi hivyo kama utakavyo wewe bali zina principal zake
kama x=y,
ukija hapa, 2x=2y, kwa nini umetumia mbili, vipi ikiwa tatu yaani 3x=3y
kwa hiyo 3x-x=3y-y
maana yake ni kuwa 3x-3y=x-y
hii ni sawa na kusema 3(x-y)=(x-y)
kwamba 3(x-y)/(x-y)=(x-y)/(x-y)
na hiyo inathibisha kuwa 3=1
HAYA WEWE UNAEJUA HESABU KANUSHA BAC

Nakubaliana na wewe, hesabu zina sheria zake, sio unakurupuka tuu,
Sawa jamaa kaasume, but from which condition? huwezi toa assumptions from unknown source. Mi nafikiri jamaa katoka HKL))
 
Sawa ,hivyo mkiwa wawili mkagaiwa shilingi tatu mgawane ,wewe chukua moja na mwenzako umpe mbili.😕
 
Je unajua kuwa 2 = 1?

Wataalam wa hesabu tunasema kuwa kama x=y
basi 2x=2y
kwahiyo 2x-x = 2y-y si sawa?
Maana yake ni kuwa 2x-2y = x-y hapo hakuna ubishi naamini.
Hii ni sawa na kusema 2(x-y) = (x-y)
kwamba 2(x-y)/(x-y) = (x-y)/(x-y)
Na hiyo inathibitisha kuwa 2 = 1
Kwa wasiojua hesabu watabaki wanatoa mimacho, hawaelewi kitu halafu bahati mbaya watabisha!

Good Day Mathematicians!

Umekiuka misingi ya hesabu. Denominator haitakiwi kuwa sawa na sifuri. Hivyo kuiweka (x-y) kwenye denominator ni makosa kwa sababu ni namba sawa. Ulichotakiwa ni kuendeleza tu:
2x-x = 2y-y
2x-2y = x - y
2(x-y) = x-y
2.0 = 0
0 = 0
 
Enzi hizo bana......

Enzi hizo makalkulesheni yalikuwa yanapigwa JF kama hatuna akili nzuri...

Hivi sasa ni kutafuta wachumba tu humu!
 
Hongereni, karibuni MATHEMATICAL ASSOCIATION OF TANZANIA.
 
hebu kokotoa makalkulesheni hapo bana, acha longolongo mingi!
mimi mkali babu sio hzo fiksi zako ulikuja nazo
ila kweli mlikuwa juu bwana
sasa hv ngono zembe imekuteka
 
Enzi hizo bana......

Enzi hizo makalkulesheni yalikuwa yanapigwa JF kama hatuna akili nzuri...

Hivi sasa ni kutafuta wachumba tu humu!

ha.lafu wengi ni dotcom wa jana na juzi ndo wanafanya jf inapungua mvuto
 
Back
Top Bottom