Kwa washauri wa JK tu...

Kwa washauri wa JK tu...

Ningemwambia viongozi vilaza wote awapige chini na pia aweke vipaumbele kuijenga tanzania,tanzania inanuka ebu nenda japenga au beijingi uone yani ukirudi tz utazani unaingia chooni tena choo cha baa ya uswazi.
apo nmekusoma n true
 
Sitapoteza muda kwani hashauriki. Si unaona alishauriwa kuhusu sioi akakataa
 
Ajitathimini kuchekacheka kwake, enewei tutajaona aki rip riz1 kama kicheko ni genuine!!
 
MWANDISHI MMOJA WA MAGAZETI YA MWANAHALISI ALIWAHI KUSEMA

The Man is busy na modem ya Ikulu "referring tangazo la easy net"
Mimi nasema: Endelea tu Mjomba kula..KULA. " kwani nani alisema katiba ya Tanzania inaruhusu kushitakiwa utakapostaafu?" nA NANI ALISEMA HATA HII MPYA IJAYO ITAKUWA NA VIPINGELE HIVYO? kamua tu baba wala hatukugusi....kula vyote na wakina mwana.sha.!!

HAWA WANAOJIITA WA TZ NA MASWALI YAO WOTE "WAPUUZI" MTANZANIA WA KWELI UPO PEKE YAKO NA KINA riz 1, mir..ji na wengine, KULA BABA.
Utakuwa mjinga ukiondoka ujabeba, yakichenji, usijali utaenda ishi kwa BWANA Bush W kule una maswahiba Hata Mwana wa wakenya uliyeenda kuomba urafiki, ukawa wa kwanza Toka E.Afrika kuonana naye utaishi KWAKE pindi hawa vinyamkela wa TANZANIA WAKITAKA KUKUFANYA KAMA MAREHEMU GADDAF.

Hata Bwana X-Gavanna najua hawezi kukutupa! Achana na mhuni huyu anakuuliza Wimbo wako wa Ari Mpya na Kasi haha, hana Jipya labda hajui studio uliyorekodia iliungua na master kopi ikawa imepotea, baati mbaya UNCLE hukua na kopi ya zida.


:disapointed: uncle Endelea KULA Dunia bado mbichi Wala walibya Sio Watanzania
Naongeza kuwa walikuchagua kwa kuipenda sura siyo utendaji hivyo mambo ya umeme bei juu na haupo wasikuulize hayakuhusu, maisha magumu waambie siyo kazi yako, safari zako nje ya nchi waambie unataalii maana uraisi ni miaka kumi tu ikiisha hujaimaliza dunia watakuwa tayari kukuchangia gharama za kumalizia nchi ambazo hujaenda, riz kujihusisha na bihashara haramu waambie asipofanya watakuwa tayari kumpa pesa za kufanyia matanuzi atakapokuwa anahitaji, na wakija na maswali ya kwamba umeshindwa kupambana na mafisadi wajibu bila hao mafisadi mimi ningekuwa rais. Nimekusaidia machache ninayoyajua naamini utakuwa mwanzo wa kujibu yaliyobaki. Mbona maswali ya huyu dogo ni rahisi kama abc tu.
 
Ajitathimini kuchekacheka kwake, enewei, tunasubiri aki rip riz1 tutaona kama kicheko ni genuine!!!!
 
Mpaka kesho uzi huu utakuwa haupo, najutia kwa nini natumia simu maana nigesave kabisa kabla jopo la maMoDs halijafanya vitu vyake.
Nipe email yako nikutumie,lkn pia tafuta kablackberry.
 
JK chagua maswali 10 angalau ujibu kwa ufasaha bila kuogopa.je utaweza maana umezoea kuchekacheka hata misibani
 
Babu seya aliimbaga
saluma wangueeeee!
Kapewa kesi nzito
maskini natamani aje raisi mpinzani amtoe. Aah uruma sana.
 
Kombati umeandika kwa hasira mpaka maswali mengine yamekuwa kama majibu.
 
Ajiuzulu ili tuchague mwingine.

....maamuzi magumu,ngoja nimulize mtoto wa mkulima,eti pinda unalizika kuwa waziri mkuu ktk kipindi hk?.....lowasa nae mimi nilipima nikaona bora nijitoe bora kupata kashfa ya ufisadi kuliko inch kufa nikiwa wazir mkuu
 
tume ya katiba ina waislam wengi kuliko wakristo - Edwini Mtei,baba mkwe.
 
Back
Top Bottom