MWANDISHI MMOJA WA MAGAZETI YA MWANAHALISI ALIWAHI KUSEMA
The Man is busy na modem ya Ikulu "referring tangazo la easy net"
Mimi nasema: Endelea tu Mjomba kula..KULA. " kwani nani alisema katiba ya Tanzania inaruhusu kushitakiwa utakapostaafu?" nA NANI ALISEMA HATA HII MPYA IJAYO ITAKUWA NA VIPINGELE HIVYO? kamua tu baba wala hatukugusi....kula vyote na wakina mwana.sha.!!
HAWA WANAOJIITA WA TZ NA MASWALI YAO WOTE "WAPUUZI" MTANZANIA WA KWELI UPO PEKE YAKO NA KINA riz 1, mir..ji na wengine, KULA BABA.
Utakuwa mjinga ukiondoka ujabeba, yakichenji, usijali utaenda ishi kwa BWANA Bush W kule una maswahiba Hata Mwana wa wakenya uliyeenda kuomba urafiki, ukawa wa kwanza Toka E.Afrika kuonana naye utaishi KWAKE pindi hawa vinyamkela wa TANZANIA WAKITAKA KUKUFANYA KAMA MAREHEMU GADDAF.
Hata Bwana X-Gavanna najua hawezi kukutupa! Achana na mhuni huyu anakuuliza Wimbo wako wa Ari Mpya na Kasi haha, hana Jipya labda hajui studio uliyorekodia iliungua na master kopi ikawa imepotea, baati mbaya UNCLE hukua na kopi ya zida.
:disapointed: uncle Endelea KULA Dunia bado mbichi Wala walibya Sio Watanzania