Ze burner
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 514
- 83
habari njema kwa wasafiri wa ndege kwa safari nilizozitaja hapo juu. shirika la ndege la Precision
Air limeanzisha safari za usiku kwa ruti nairobi, dar na mwanza. hivyo sasa unaweza kuendelea na shughuli zako mchana kutwa then usiku unaelekea unakokuhitaji.
ratiba za ndege unaweza kufuatilia nikipata kamda nitawawekea msijali.
Air limeanzisha safari za usiku kwa ruti nairobi, dar na mwanza. hivyo sasa unaweza kuendelea na shughuli zako mchana kutwa then usiku unaelekea unakokuhitaji.
ratiba za ndege unaweza kufuatilia nikipata kamda nitawawekea msijali.