Hii Tecno yangu nilinunua sababu ya bei nafuu,ilikua na camera nzuri pia ,ila sahivi sijui imejizeekea camera yake mbayaa,afu simu imekua kimeo kinoma yani, full kustalk, kujipiga sometimes unakuta tu mtu anapokea hee, kupata moto kama inachemshwa dah
Ohoooo, sawa kifimbo cheza na wachafuzi wa lugha , ila hiyo "liki" hapo ulitaka kusemaje pia, kweli hainaga uperfect hii kituu,simu yangu imeanza "Liki" miezi 3 sasaSimu yako imeanza liki kustalk zakwetu huwa zinastack hazijawahi kustalk
Du! embu niitie yule bibi msahihishajiOhoooo, sawa kifimbo cheza na wachafuzi wa lugha , ila hiyo "liki" hapo ulitaka kusemaje pia, kweli hainaga uperfect hii kituu,simu yangu imeanza "Liki" miezi 3 sasa
usijali kukosea kupo bana, hujambo lakini!Du! embu niitie yule bibi msahihishaji
Mi hii niliyonayo nilimnyang'anya mtu vichochoroni usiku mnene nilimtia mabanzi akaitoa kwa kuhofia nitamuua ni mikofi ya mgongoni
Unapenda simu gani? Na kwanini hauipendi Infinix Hot 6 pro? Kuna vitu gani vimepungua? Au haupati huduma gani?Mimi hii simu yangu niliinunua tu kwasababu sina uwezo wa kununua simu ninayoipenda...
Infinix Hot 6 pro
Tsh 270000
Nilinunua mwaka jana
Na hakuna nachokipenda kwenye hii simu
Mkuu kuna MOTOROLA naiuza hapa.1. Bei
2. Mahitaji yangu(inakidhi mahitaji yangu)
Kwa sasa kimeo kina miaka 4 na miezi kadhaa kinaendelea kuchanja mbuga
Camera ni mbaya upande gani? Mwanga mdogo? Haina flash? Rangi ya picha haivutii? Au?...Hii Tecno yangu nilinunua sababu ya bei nafuu,ilikua na camera nzuri pia ,ila sahivi sijui imejizeekea camera yake mbayaa,afu simu imekua kimeo kinoma yani, full kustuck, kujipiga sometimes unakuta tu mtu anapokea hee, kupata moto kama inachemshwa dah
Unatumia simu gani?Kwakuwa ni bei kubwa sana, na fasheni pia maana huwa sipendi kupitwa.
Ukisema ''kustuck'' simu yako inagoma upande gani? Inachukua muda mrefu kudownload picha? Apps? Kufungua kurasa za internet?Ohoooo, sawa kifimbo cheza na wachafuzi wa lugha , ila hiyo "liki" hapo ulitaka kusemaje pia, kweli hainaga uperfect hii kituu,simu yangu imeanza "Liki" miezi 3 sasa
Mkuu kuna MOTOROLA naiuza hapa.
Hii MOTOROLA unaingia mitandao yote ya kijamii bure mkuu
Iuze tu mkuu, mimi bado nasonga mbele na hiki kimeo nilichonacho
Vya bure vina gharama yake mkuuHii MOTOROLA unaingia mitandao yote ya kijamii bure mkuu
gharama yake inavumilika mkuuVya bure vina gharama yake mkuu
Samsung A50. Na wewe je?Unatumia simu gani?