Kwa wapenzi wa tamthilia ya sultan

Kwa wapenzi wa tamthilia ya sultan

kritika

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2018
Posts
410
Reaction score
1,158
Kwa sasa tamthilia inayoshikilia headlines kibongo bongo ni sultan..ukiingia instagram ndio habari ya mujini,ni tamthilia inayozungumzia historia ya kweli ya empire ya ottaman ambayo inasemekana ni empire iliyokua na nguvu zaidi duniani kote na kufanikiwa kutawala mabara matatu kwa mda mrefu..

Tamthilia hii inayorushwa na azam 2 kwanzia saa 4 usiku imewateka watz wote wasomi na wasio wasomi kutokana na kuwekwa maneno matamu ya kiswahili(hata mama yangu mzazi anaifutalia kuliko kipindi chochote ) pia inadrama nzuri za kimapenzi wa mama wa mashazade wakiligombania penzi la sultan suleman khan

Karibuni wote na tujuane team zetu

Team hurrem sultana
Team princesser Isabella
Team ibrahim pasha
Team belbey
Team mahdevran
Team nigal khalfa
Team sumbula na gulla
Team valden sultana

Karibuni
 
Me napenda the way yule anayeongea anampatia sana kuanzia maneno has vitendo, "hebu nipishe mimi, chefuuuu" hahahhahahaha na isabella atapata tabu sana na hurrem atapangiwa njama za kuuliwa
Yule kaka wa jambo na vijambo ndio kaingiza sauti ya sumbula..yule mwenye upara
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Me napenda the way yule anayeongea anampatia sana kuanzia maneno has vitendo, "hebu nipishe mimi, chefuuuu" hahahhahahaha na isabella atapata tabu sana na hurrem atapangiwa njama za kuuliwa
Huyu
Screenshot_20180726-155853.jpg
 
Yaani hurrem angepata watu 5 ambao majasili kama kale kafanyakaz kake aliko kapa kisu ingekua raha sana
 
Na monalisa ndio kaigiza saut ya hurem sauti ya valide inanikera sio kwa besi lile hahahha
Ile kaingiza yule mtalaamu wa sauti godliver Gordian ambae ndio kaingiza pia sauti ya DD dulga kwenye jamai raj
 
Yaani hurrem angepata watu 5 ambao majasili kama kale kafanyakaz kake aliko kapa kisu ingekua raha sana
Hahaha yule mwingine si walimuozesha aliechomwa kisu na gulsha
 
Back
Top Bottom