King Shaat
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 863
- 835
Ni vipi humu ndani?!. Natumaini mko poa asee.
Katika moja ya aina za muziki nnazokubali mahadhi na rhythm zake ni ile ya Rock. Ingawa sio aina ya muziki ambayo inajulikana na kupendelewa sana na watanzania wengi, ni aina ya muziki ambayo pia nayo kwa namna moja au nyingine zina ujumbe na uzuri wa sauti (za waimbaji pamoja na vyombo).
Kama na wewe ni mmoja wa wapenzi wa muziki aina ya rock, niambie bendi gani (rockstar gani) unaikubali zaidi katika genre nzima ya rock bila kuangalia aina ya rock wanayohusika nayo.
Kwa kuanzia, binafsi yangu nazielewa sana hizi bendi:-
i) Alice in Chains
ii) Metallica
iii) Black Sabbath, na
iv) AC/DC
Zingine nazo ziko poa sema hizo mi ndo nazielewa.
NOTE: Pia kuna group la whatsapp la wapenzi wa Rock 'n' Roll Tanzania, kama utapenda kupata miziki, stori, na habari za rock, text kupitia 0652275300 na 0766078034 tuku'add.
Katika moja ya aina za muziki nnazokubali mahadhi na rhythm zake ni ile ya Rock. Ingawa sio aina ya muziki ambayo inajulikana na kupendelewa sana na watanzania wengi, ni aina ya muziki ambayo pia nayo kwa namna moja au nyingine zina ujumbe na uzuri wa sauti (za waimbaji pamoja na vyombo).
Kama na wewe ni mmoja wa wapenzi wa muziki aina ya rock, niambie bendi gani (rockstar gani) unaikubali zaidi katika genre nzima ya rock bila kuangalia aina ya rock wanayohusika nayo.
Kwa kuanzia, binafsi yangu nazielewa sana hizi bendi:-
i) Alice in Chains
ii) Metallica
iii) Black Sabbath, na
iv) AC/DC
Zingine nazo ziko poa sema hizo mi ndo nazielewa.
NOTE: Pia kuna group la whatsapp la wapenzi wa Rock 'n' Roll Tanzania, kama utapenda kupata miziki, stori, na habari za rock, text kupitia 0652275300 na 0766078034 tuku'add.