kwa bahati nzuri au mbaya nimefanikiwa kuyanasa mazungumzo fulani kati ya watu wawili wapendanao
GF: kwanini uniambie, kata kwanza simu kuna mtu ananipigia
BF: alikuwa ni bosi wangu anataka taarifa za ofisi
GF: kwani hamkuonana ofisini
BF: nilikuwa field mchana kutwa wakati narudi ofisini hakuwepo
GF: nieleze kabisa kati ya bosi wako na mimi nani muhimu zaidi kwako?
BF: wote muhimu kwani yeye ananiweka mjini nawe wanipa furaha.
GF: naomba chagua mojawapo kati ya hayo (mimi au bosi wako)
Naomba mnisaidie juu ya hili wanaJF, kuna tatizo kumwambia mpenzi au rafiki yako ya kwamba naomba kata simu yako ili uongee na mtu mwingine kwa dharula, kisha baadae utampigia.
GF: kwanini uniambie, kata kwanza simu kuna mtu ananipigia
BF: alikuwa ni bosi wangu anataka taarifa za ofisi
GF: kwani hamkuonana ofisini
BF: nilikuwa field mchana kutwa wakati narudi ofisini hakuwepo
GF: nieleze kabisa kati ya bosi wako na mimi nani muhimu zaidi kwako?
BF: wote muhimu kwani yeye ananiweka mjini nawe wanipa furaha.
GF: naomba chagua mojawapo kati ya hayo (mimi au bosi wako)
Naomba mnisaidie juu ya hili wanaJF, kuna tatizo kumwambia mpenzi au rafiki yako ya kwamba naomba kata simu yako ili uongee na mtu mwingine kwa dharula, kisha baadae utampigia.