Kwa waoaji na waolewaji

Kwa waoaji na waolewaji

Hekima na busara tele za Kaka yetu Tized kamwe hukosi kuziona kama wewe ni msomaji makini wa michango mbali mbali toka kwa Kaka yetu. Umetunukiwa Bro ili upate wa kula naye pensheni taratibu kwa raha zenu. Ngoja niongeze huo umbali na kufanya uwe futi milioni toka usawa wa bahari lol!!!!



duh! Huu mfagilio unatisha,bana mi nipo nipo tu Tized na kaka yake wamenishikia bango nikahesabiwe wakati mim nataka niende zenj kwenye ile hotel aliyotangaza Kikeke ina chumba kimoja kiko chini ya bahar, bas mi wananiudh kwelikweli !!.!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Hmmmmm!!! Chumba cha chini ya bahari siyo? Haya bhanaaa kujua kuogelea muhimu lakini....
:horn::horn::horn:


duh! Huu mfagilio unatisha,bana mi nipo nipo tu Tized na kaka yake wamenishikia bango nikahesabiwe wakati mim nataka niende zenj kwenye ile hotel aliyotangaza Kikeke ina chumba kimoja kiko chini ya bahar, bas mi wananiudh kwelikweli !!.!
 
Hmmmmm!!! Chumba cha chini ya bahari siyo? Haya bhanaaa kujua kuogelea muhimu lakini....
:horn::horn::horn:

hizo nyimbo zangu zote? Haya bana naona unan'gon'ga eh! Kuogelea kimtindo si sana....uwe na maandalizi mema ya Christmass,Merry Christmass& Happy new year.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hahahahahah wala sing'ong'i bhanaaaaa niko kwenye mood ya furaha tu na furaha huweza kupambwa na muziki pia, kimtindo inatosha kabisa kwani unaingia kwenye mashindano ya Olympic!? Merry Xmas and Happy New Year to you too. Thank you so much.

hizo nyimbo zangu zote? Haya bana naona unan'gon'ga eh! Kuogelea kimtindo si sana....uwe na maandalizi mema ya Christmass,Merry Christmass& Happy new year.
 
Hahahahahah wala sing'ong'i bhanaaaaa niko kwenye mood ya furaha tu na furaha huweza kupambwa na muziki pia, kimtindo inatosha kabisa kwani unaingia kwenye mashindano ya Olympic!? Merry Xmas and Happy New Year to you too. Thank you so much.

Asante sana wangu,nafurahi kukuona uko na amani tele,mfalme wa Amani mwenyezi Mungu azidi kuidumisha hiyo furaha, Love you....
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Thank you so much everlenk...I wish the same to you.

Asante sana wangu,nafurahi kukuona uko na amani tele,mfalme wa Amani mwenyezi Mungu azidi kuidumisha hiyo furaha, Love you....
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahah wala sing'ong'i bhanaaaaa niko kwenye mood ya furaha tu na furaha huweza kupambwa na muziki pia, kimtindo inatosha kabisa kwani unaingia kwenye mashindano ya Olympic!? Merry Xmas and Happy New Year to you too. Thank you so much.

Asante sana wangu,nafurahi kukuona uko na amani tele,mfalme wa Amani mwenyezi Mungu azidi kuidumisha hiyo furaha, Love you....
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Anytime, Karibu sana mjukuu wangu mzuuri sana Sweet16. Nikutakie sikukuu njema sana wewe na familia yako pamoja na woote uwapendao. Do keep in touch, pensheni ipo ya kutosha, Karibu saana upate baraka za Babu.

Jirani BAK pita mbali sana futi laki nane kutoka usawa wa bahari.
ahsante babu yangu nayapenda sana maneno yako ya busara si kama wazee wengine wanafikiri mvi ndo busara afu nimegundua we ni mtu wa pekee sana umekuwa na busara kabla ya MVI!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! salam kwa bibi yetu
 
Kama unatumia muda mwingi kufikiria harusi ya siku moja kuliko ndoa ya miaka hamsini, pole sana, inawezekana unataka kuwa bibi/bwana harusi lakini hutaki kuwa mke/mume. Kupanga ni kuchagua.


Hili nalo neno....
 
Kwanini uwe negative sided mind? Every thing happen 4 the reason.Hayo yapo tu waza husiyawaze yakikutokea as a human being u 'll adopt and lyf goes on and Only GOD who knows what 'happen in your future
 
Karibu sana Sweet16, Bibi yako anashukuru sana kwa salamu, Karibu sana kwetu Christmas tusherehekee pamoja.

Hahahahaaaa... Thanks for your words of wisdom, Though am not that wise, your words touched me.
Nikutakie Christmas njema yeye heri na baraka tele. Mwaka ujao ukawe mwaka wa mafanikio ktk mambo yako pamoja na wale uwapendao.
Barikiwa.
Cheers!!! .
ahsante babu yangu nayapenda sana maneno yako ya busara si kama wazee wengine wanafikiri mvi ndo busara afu nimegundua we ni mtu wa pekee sana umekuwa na busara kabla ya MVI!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! salam kwa bibi yetu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom