Pole na hongera kwa experience hiyo. Hubby alipona hiyo stroke aliyopata??
Asante , nashukuru Mungu imeshapita . Yes my dear alipona na akaamua kuvuta kitu kipya baada ya uponyaji. Thanks.
Pole na hongera kwa experience hiyo. Hubby alipona hiyo stroke aliyopata??
Asante , nashukuru Mungu imeshapita . Yes my dear alipona na akaamua kuvuta kitu kipya baada ya uponyaji. Thanks.
Una maana akaoa mke mwingine akakuacha? Damn..!!!!!
wewe mtu NAKUPENDAGA basi tu nakosa ujasili leo naomba nifungukeeeeeeeeOne day at a time, One thing at a time.
Unawaza hivyo vyoote halafu ufanyeje sasa? Hata utumie miaka mingapi kufikiri, waweza kujua lisaa limoja mbele kitatokea nini? Ndio maana tunaangalia na kusonga mbele kwamatumaini na kwa kutegemea mazuri.
Mtu akiishi kwa woga na kuwaza mabaya, atakaribisha mabaya. Akiishi kwa kufikiri na kukiri mazuri nayo yatakua sehemu yake.
wewe mtu NAKUPENDAGA basi tu nakosa ujasili leo naomba nifungukeeeeeeee
wuuuuuu ushaanza kula pensheni!!!!!!!!!!!!!!!!!! basi nakupenda tu kama babu yangu hahahaaaaaaaaa iyo kula na bibi yangu tu.......love u saaaanaaaaaWaaoh!!! Nafurahi sana Sweet16 kusikia maneno mazito na mazuuri kutoka kwako. Karibu tule pensheni pole pole hapa Tz!!
Asante sana, pia karibu sana, Ni heshima kufahamu kuna mtu sweet kama wewe mahali ananipendaga. Asante saana.
:tea:
wuuuuuu ushaanza kula pensheni!!!!!!!!!!!!!!!!!! basi nakupenda tu kama babu yangu hahahaaaaaaaaa iyo kula na bibi yangu tu.......love u saaaanaaaaa
Hekima na busara tele za Kaka yetu Tized kamwe hukosi kuziona kama wewe ni msomaji makini wa michango mbali mbali toka kwa Kaka yetu. Umetunukiwa Bro ili upate wa kula naye pensheni taratibu kwa raha zenu. Ngoja niongeze huo umbali na kufanya uwe futi milioni toka usawa wa bahari lol!!!!
he babu unazidiwa maujanja eh! Ndo maana hata mrejesho hunipi kumbe bibi hayupo,haya ukitangaza uchaguz mpya ndo uzingatie uliyoambiwa na mleta mada usifikiri masuti na mashela na mandafu tu,ila wewe ngoja nimute tu.......lolWewe nawe !!! hahahahahaaa.. Bibiyenu hayupogo tena, ameenda kwa Sean wake huko majuu krashi za bongo vumbi sana., nakaribia kutangaza uchaguzi wa marudio. BAK yupo likizo kdgo.
he babu unazidiwa maujanja eh! Ndo maana hata mrejesho hunipi kumbe bibi hayupo,haya ukitangaza uchaguz mpya ndo uzingatie uliyoambiwa na mleta mada usifikiri masuti na mashela na mandafu tu,ila wewe ngoja nimute tu.......lol