kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
<br />Siwezi kulala hotel bila mchuchu
<br />
Ni hasara kubwa kulala single hotelini wakati umelipia, tumia cash yako vizuri bana.
<br />Siwezi kulala hotel bila mchuchu
Basi pale mwamugongo mimi nilisha kaa watu wazushi hakuna kitu kama hicho kwani huyo mwenye guest alisha fariki wamebaki watotto wake basi!Mkuu umevuta hisia zangu kwani the last time to visit kigoma was Dec,2009.Nakumbuka siku hiyo nilikosa G/House nzuri nikalala Mwamgongo iko karibu na Mwanga Guest House. Basi night mauzauza ya kufa mtu. nikawauliza wenyeji wakaniambia mzee mwenye guest ndio shughuli zake.Wanasema wateja mnaweza kuchukuliwa wote night kwenda kuogeshwa lake tanganyika bila kujijua. maeneo ya mwanga night balaa mkuu ulisalimika?
Go away wewe nibingwa wa inf'únataka kuleta mbwembwe hapa tena shika adabu yako nisikumwage hapa kwenye ukurasa!!Chunga!!Unalofanya wewe sio wote wanafanya " wengine wanaheshimu ndoa zao hata akikaa mwezi na zaidi atavumilia tu"
What the sheet you'"re talking about?do you think who want to know your business here in JF?Mightbe you''re first time to visit uk??Kwako wewe kilakitu cha maana ni UK??huh??Unakuwa na hadithi za kipofu siku aliona chakwanza kuona aliona Tembo na upofu ukamrudia hivyo kila kitu akiambiwa aliona nikama Tembo!!Nipo uingereza sasa hivi na niko busy na mambo yangu huo muda wa kufikiria ngono nitaupata wapi? Nadhani iko applicable kwa wale wasiojua purpose of their trip.
Wanawake mpaka kuwepo na kishawishi lakini kwetu wanaume hata bila kishawishi wenyewe tunajitune kwamba huwezikuwa confortable bila kuwa na mwanamkwe!!Wanawake wanaonewa katika hiliI japo wanaotaka wanaume kinguvu kwakuwapa pombe!!kati ya mwnamume na mwanamke.. ni nani huwaza mahaba/kuchapana kirahisi zaidi bila hata atention/awareness/kinga.. punde anapokua amelewa , nijibu mtoa mada.
Yote yaezekana hiyo nimipasho ya kwenye kanga!!Swali kwa mwanaume yeyote afanyaye hivyo: kama hukushiba chunguni cha kupakuliwa kwenye sahani utashiba?
Mkuu umevuta hisia zangu kwani the last time to visit kigoma was Dec,2009.Nakumbuka siku hiyo nilikosa G/House nzuri nikalala Mwamgongo iko karibu na Mwanga Guest House. Basi night mauzauza ya kufa mtu. nikawauliza wenyeji wakaniambia mzee mwenye guest ndio shughuli zake.Wanasema wateja mnaweza kuchukuliwa wote night kwenda kuogeshwa lake tanganyika bila kujijua. maeneo ya mwanga night balaa mkuu ulisalimika?
Basi pale mwamugongo mimi nilisha kaa watu wazushi hakuna kitu kama hicho kwani huyo mwenye guest alisha fariki wamebaki watotto wake basi!
Go away wewe nibingwa wa inf'únataka kuleta mbwembwe hapa tena shika adabu yako nisikumwage hapa kwenye ukurasa!!Chunga!!
What the sheet you'"re talking about?do you think who want to know your business here in JF?Mightbe you''re first time to visit uk??Kwako wewe kilakitu cha maana ni UK??huh??Unakuwa na hadithi za kipofu siku aliona chakwanza kuona aliona Tembo na upofu ukamrudia hivyo kila kitu akiambiwa aliona nikama Tembo!!
Wanawake mpaka kuwepo na kishawishi lakini kwetu wanaume hata bila kishawishi wenyewe tunajitune kwamba huwezikuwa confortable bila kuwa na mwanamkwe!!Wanawake wanaonewa katika hiliI japo wanaotaka wanaume kinguvu kwakuwapa pombe!!
Yote yaezekana hiyo nimipasho ya kwenye kanga!!
Kwanini wanaume wengi wanaosafiri hasa kikazi tupo tofauti na wanawake mara nyingi wanaume ujikuta wanalazimika kuwa na mahusiano na hawaridhiki kwenda hotel kulala peke yao lazima wapate kiburudisho kwanini??Lakini kwa wanawake iko tofauti yeye akisafiri vitu hivyo havimsumbui kama walivyo wanaume wao maranyingi hata kama anapata kinywaji atakunywa kinywaji chake mara anaondoka kwenda kupumzika lakini Wanaume lazima ajibidiishe apate Blankethuman!!Why???????????:brick:
Tuwaulize wadada kwanin wanakubali kulala na mtu mgen hata umjuh daa wana roho ngum wadada
Mpwa watu wanakera bora aende huko kwenye wauza sura kwani wao nirahisi kusema mimi nilikuwa michigan,Newyork hatutashanga wanambwembwe huko mpwa usiende!!Mpwa hapo kwenye red hapo mbona umenena kwa ukali hivyo? mi si ndio maana nilitoa mifano ya kwetu kigoma kusikokuwa na umeme wala barabara? kwa hio unashauri jamaa angepeleka hii comment yake kule kwa wauza nyuso eeeh (Facebook)....uwe na siku njema Mpwa